Ati wanauliza hati ya muungano iko wapi. Waje kule ikulu mimi nilipoingia nimeiona...kuna kiti kizuri na meza kwenye chumba...na wakitaka kopi nitawapeleka Umoja wa Mataifa.
Mimi nashangaa sana kuona baadhi ya watu wanataka kujua ilipo hati ya muungano lakini hawajafanya juhudi za kuitafuta kwa sababu serikali inayo, na nakala yake ipo umoja wa mataifa.
Hati ya muungano ipo pale Ikulu kuna chumba na meza inayotumika kuwekea saini anaetaka kuiona aende Umoja wa Mataifa wanayo kopi. Hakuna haja ya kuhangaika.