Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

aHHHHHHHHH MASWALI YALIKUWA MAWILI TUUU HIPO? KAMA HIPO NI HALALI? AHHHHHH
 
JUst silly! sasa Muungano ni halali kwa vile watu wameona hati?
Mzee Mwanakijiji hili ni swali moja tu kati ya maswali mengi ya msingi. Hapa tunaisoma tanganyika na Zanzibar, ambapo sasa tunaisikia Zanzibar tu. Na kwenye hati hii hatujaona muundo wa serikali. Navilevile bado pande zote mbili za muungano tunaweza kupanga aina ya muungano tunaoutaka kufuatia fursa hii ya kutenngeneza katiba mpya.
 
Last edited by a moderator:
Hati?nisaidieni hapa wadau,hati ya muungano na sheria ya muungano kipi kinatangulia kingine na kipi kina nguvu kuliko kingine?
Je kupatikana kw hati hiyo ndio kuhalalisha muungano kwamba ni halali?
 
inaonekana imepokelewa leo saa9 kwa fax ahhhhhhh toka wapi sijui?
 
mbona kuna fax number na tarehe 14 april hii ina maana gani wanajamii hebu tusaidiane kufuatilia hii fax from where
 
Tunashukuru kwa kutuonyesha hiyo hati ya muungano, la msingi ni kuyangalia waliokubaliana kwenye huo muungano yanakidhi maitaji ya sasa ndiyo muhimu.

Mh! Hoja ya msingi endapo hati hiyo itakuwa halali.
 
Kwani inatakiwa na waandishi au wajumbe wa katiba? Harufu ya uchakachuaji na kujihami imeanza kuonekana.


Sent from my iPad using JamiiForums


OK. Halo umenena.
 
Tunashukuru kwa kutuonyesha hiyo hati ya muungano, la msingi ni kuyangalia waliokubaliana kwenye huo muungano yanakidhi maitaji ya sasa ndiyo muhimu.

Naungana na ww hatutaki kero za muungano ziwepo tena.
Kuhusu muundo ni utashi tu.
 
Hati ya Muungano ni feki. Sahihi ya Karume imechakachuliwa kwani hata jina lake halijaandikwa hadi mwisho limekatwa na kuandikwa kwa chini. Nimeiona kwenye Facebook Wall ya January Makamba. Yaani kwanini jina la Karume herufi " me " imeandikwa kwa chini ya jina husika ? Why ? Alafu sahihi ya Nyerere imepigwa kwa mhuri sio mwandika original
 
Hati?nisaidieni hapa wadau,hati ya muungano na sheria ya muungano kipi kinatangulia kingine na kipi kina nguvu kuliko kingine?
Je kupatikana kw hati hiyo ndio kuhalalisha muungano kwamba ni halali?
Mkuu, kwa fikra zangu hati ya makubaliano ya muungano ndio ya kwanza halafu sheria ya muungano ndio inafuata kwa kutungwa na bunge.
 
Mkuu naunga mkono hoja yako kwa 100%... Kama kuishi na mwanamke kwa miaka 2 inatambulika kisheria kuwa ni ndoa halali iweje watu walioishi zaidi ya miaka 50 wamezaliana, wameendesha mambo yao pamoja, wamekabiliana na changamoto mbalimbali kwa umoja wao IWEJE leo tuseme eti Muungano ni batili kwakuwa eti cheti hakipo! Makubaliano au muungano ni zaidi karatasi yenye maandishi ya watu wawili! Muungano huu Unawakilisha Muungano wa Jamii ya watu wa Znz na Watu wa bara na umedumu kwa nusu karne mpaka sasa! Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa pande zote mbili yaani CCM na UKAWA wote wako bias ile mbaya! Mifumo wanayopendekeza yanajikita kwenye political gain zaidi! CCM wajua kuwa ndani ya mfumo wa dola mbili wataendelea kutawala milele daima, UKAWA wanajua kuwa ndani ya dola tatu CCM itakosa nguvu na kuachia ngazi! Kama kweli wote wangekuwa na dhamira ya kweli ninauhakika leo hii Tanzania Ingekuwa Moja chini ya Serikali Moja yenye kuendeshwa kwa mfumo wa Majimbo kama zilivyo nchi za wenzetu..
 
Haya "Mwanasheria Nguli" alete hoja nyingineyo kama haitapanguliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…