Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,337
watakayoiona iyo hati watueleze kama imetaja nchi inayoitwa Tanzania, kama imetaja nchi ya tanganika na tunaomba mtueleze mambo ya Muungano ni yepi katika iyo hati. Kama ina neno Tanganyika, mungu ashukuriwe nchi yetu tanganyika imerudi! kama haijataja neno Tanganyika, naomba rais atumie madaraka yake, apige marufuku kutaja neno Tanganyika! Kama kuna neno Tanganyika, kuanzia leo watupe Tanganyika yetu!