Mimi wanyuma hapo Mwenye afro
kama nilivyosema anaongelea Hati ya Muungano, anasema hati ipo, na Rais amesema katibu mkuu ailete hati hiyo mbele ya wanahabari, anasema maneno yamekuwa mengi na yanayosemwa ni mengi na hati imetunzwa vizuri sana hadi sasa, na mwenyekiti wa bunge akiiomba basi wataipeleka huko bungeni na nakala ya hati hii itapelekwa makumbusho ili kila mwananchi aweze kuiona,
inaonekana imepokelewa leo saa9 kwa fax ahhhhhhh toka wapi sijui?
Juu kabisa kama si macho yangu nasoma yafuatayo;
FAX NO. 2117272
Date April 14 2013
Time 09:55am
Je hii ndiyo maandiko ya 1964?
KaMa in fax no ina maana siyo originalJuu kabisa kama si macho yangu nasoma yafuatayo;
FAX NO. 2117272
Date April 14 2013
Time 09:55am
Je hii ndiyo maandiko ya 1964?
Juu kabisa kama si macho yangu nasoma yafuatayo;
FAX NO. 2117272
Date April 14 2013
Time 09:55am
Je hii ndiyo maandiko ya 1964?
Kuna mtu aliuliza kama hii analogy ya ndoa ni sahihi kati ya Zanzibar na Tanganyika nani mke nani mme?Mkuu naunga mkono hoja yako kwa 100%... Kama kuishi na mwanamke kwa miaka 2 inatambulika kisheria kuwa ni ndoa halali iweje watu walioishi zaidi ya miaka 50 wamezaliana, wameendesha mambo yao pamoja, wamekabiliana na changamoto mbalimbali kwa umoja wao IWEJE leo tuseme eti Muungano ni batili kwakuwa eti cheti hakipo! Makubaliano au muungano ni zaidi karatasi yenye maandishi ya watu wawili! Muungano huu Unawakilisha Muungano wa Jamii ya watu wa Znz na Watu wa bara na umedumu kwa nusu karne mpaka sasa! Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa pande zote mbili yaani CCM na UKAWA wote wako bias ile mbaya! Mifumo wanayopendekeza yanajikita kwenye political gain zaidi! CCM wajua kuwa ndani ya mfumo wa dola mbili wataendelea kutawala milele daima, UKAWA wanajua kuwa ndani ya dola tatu CCM itakosa nguvu na kuachia ngazi! Kama kweli wote wangekuwa na dhamira ya kweli ninauhakika leo hii Tanzania Ingekuwa Moja chini ya Serikali Moja yenye kuendeshwa kwa mfumo wa Majimbo kama zilivyo nchi za wenzetu..
mbona kuna fax number na tarehe 14 april hii ina maana gani wanajamii hebu tusaidiane kufuatilia hii fax from where