Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano


Forgery!!!
 
mkuu unafanya kazi gani maana 24/7 upo nyuma ya laptop unawatumikia wapiga deal wa kaskazini.

naulizwa na wengi swali kama lako ila nitalijibu baada ya ukombozi wa pili kupatikana mwaka 2015,
tujadili hoja kwanza.
'nakupenda tanganyika'
 
Kama imeombwa 50 Years hamna saa hii wameitoa wapi? Si ile ya kugushi? Magamba mmezoea vya kunynga vya kuchinja sifuri.
 

Ni halali kabisa Tz kubaki kama ilivyo kama wasomi na wapiga kura wake ndo wanaweza kutoa mawazo kama wewe.ni mawazo ya kipumba..fu kabisa.
 

mkuu iyo hati haitaijeresha Tanganyika?iyo hati haitasema Tanganyika ni nchi? Naiona Tanganyika ndani ya miwani ya Tanzania...ni imani yangu iyo hati itaitaja Tanganyika, asante wasiira kwa kuileta hati ili iifufue tanganyika!
 
Na ndiyo maana Lisu kawabana kama mwanasheria na wao bila kujijua wamekimbilia kuitoa. Wakishaitoa sasa mambo yanawekwa sawa sasa wale Wazanzibar majuha wa CCM ndio watwambie bado wanakubaliana na yaliyomo kwenye hati au wanayakana. Wakikubali Zanzibar wataiona moto, wakikataa yaliyomo Tanganyika yetu imezaliwa. Ukishajua sheria bwana unaweza kuchezea vichwa vya watu na wao bila kujijua wakaingia mkenge na hapo ndicho anachofanya LISU

 
Msamiati mpya...muungano = ndoa....kuna nchi mme na nchi mke tuweke katika kamusi na ifundishwe shuleni
 
hii serikali ina la kutuabia kwanini majibu yao yana mkanganyiko mkubwa sana?
Hii naamini ni usanii wa hali ya juu ili kutuaminisha.
Where is my tanga-nyika?

juu ya huo mdole mbona sijaona neno Tanzania??? kumbe kweli Tanganyika ipo ni msukumo mdogo tu inarudi!!
 
Taarifa nilizozipata muda huu ni kuwa Waandishi wa habari wameitwa Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi lengo ni kuwaonyesha Hati Ya Muungano na kukata mzizi wa Fitina Kwa wajumbe wa bunge la Katiba. Tutawajulisha hapa hapa...

Waipeleke Bungeni. Wandishi wataiona huko.
 
Taarifa nilizozipata muda huu ni kuwa Waandishi wa habari wameitwa Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi lengo ni kuwaonyesha Hati Ya Muungano na kukata mzizi wa Fitina Kwa wajumbe wa bunge la Katiba. Tutawajulisha hapa hapa...

Hati ya Muungano inatakiwa na wabunge wa bunge la katiba, sasa badala ya kuwapa wale unaita waandishi wa habari.
 
Hiyo no fax no. Imetumwa tarehe 14 April 2013imetokea wapi hiyo?kwa nini ikulu inachanganya watu? Si wanasema walikuw wameitunza ilikuwa mahali sasa hiyo kutumwa kwa fax ilikuwa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…