Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Ni kwa mujibu wa Taarifa toka Ikulu:

Na nyingine:
 
asante jk,sikiliza upande wa pili ujijengee heshima na kumbukumbu ambyo kamwe haitaftika ndani ya Taifa hili.
 
kikwete bana....ivi kuna watu wanategemea kitu cha maana kutoka kwake kweli...? itakuwa ndoto za mchana
 
Hahahahaha mbavu mabavu mbavu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tanzania eeee nchi yangu oo tanzania eeee nchi yanguuuuu. Tanzania eeee n chi yangu ooOooooo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hakuna mahali popote duniani ambapo mswada wa sheria uliopitishwa kihalali bungeni watu hupita mitaani na kutembea jangwani wakinshinikza asiusaini. Nikirudi kwa kauli yake kwamba wabunge warudi bungeni wafanye marekebisho hakuamaanisha kuwa mswada hatausaini. Sana sana alichosema ambacho nataka watu fulani ambao vichwa vyao ni vigumu kuelewa waelewe kuwa Mh Rais alizungumzia kanuni za Bunge kuhusu kamati ya Bunge ya sheria na katiba kutoenda Zanzibar. Baada ya maelezo yake akasema hakuna mahali popote, narudia hakuna mahali popote ambapo kanuni za kudumu za bunge zinasema kamati (yoyote) inabidi iende Zanzibar na kama wabunge wanaona iwe hivyo basi warudi Bungeni wafanye marekebisho ya kanuni. Sasa bahati mbaya kuna watu uelewa wao ni hafifu na wako humu kijiweni; walidhani Mh KASEMA MSWADA URUDI BUNGENI, UFINYU WA FIKRA NA UDHAIFU WA KUELEWA uliwafanya hawa DUNDUNDU wadhani kihivyo na kuanza kusherehekea ufinyu wao wa kuelewa. Ndani mwao kuna wengine wanaelewa alichosema Mh Rais lakini kwa kuwa wanaona wakiwaelimisha alichosema Mh watawachukia kwa kuwa vichwa vimejaa maji tu yaani ni watu wanaoelewa kutokuelewa. Mmoja wao ni Tundu, huyu anajua alichosema Mh Rais lakini amaeacha DUNDUNDU wachemke wenyewe wakidhani yupo pamoja nao. Fikiri kabla ya kutenda, na Waingereza wana msemo mzuri tu kwa kiswahili kisicho rasmi unasema, husiseme kabla hujafanya utafiti maana utaonekana boya na kituko.:frusty:
 
Watu acheni USHAMBA. Mswada kutiwa saini haimaanishi kuwa hauwezi kurekebishwa.

Kila sheria iliyopo kwenye vitabu vyetu inaweza kurekebishwa. Sheria pekee zisizoweza kurekebishwa ni zile zilizotoka kwa Mungu zilizopo kwenye vitabu vitakatifu.
 
Chezeya nguvu ya umma weye!!!
 
foleni tuuuu ili li saa la 2 natamba kwwenye foleniiiiiiii..... Ngoja tusubiri ngojera tena
 
Hahahaha,leo nyuzi kweli zimekua nyuzi yaani kote ni hot sijui nijigawe vipi.
Mswaada utasainiwa,then kama kuna mabadiliko yanazungumzika,then utarudi tena bungeni,huh?.
 

mkuu, umeeleweka sana. unajua akili za bavicha ni kama supu iliyowekwa tui la nazi vile. yaani akili zao zinakimbilia kuganda tu
 
Hiyo ndiyo habari ya mjini. Mswada ni lazima usainiwe
 
huyu mzee bana sijui yokoje! yaani kama urais ndo hivi basi nchi hii ina bahati mbya sana ....
 
Ni majanga kuongozwa na rais Wa KUAMBIWA. Nina mashaka hatausoma ATAAMBIWA AUSAINI.sasa kama hajausoma ile hotuba ya juzi aliitoa ya nini? Nina mashaka hata ile hotuba ALIAMBIWA aisome ilivo...terrible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…