Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Hivi inachukua siku ngapi kwa Documet kutoka Bungeni mpaka Ikulu?
Au Umetumwa kwa kutumia Bajaji?

Alafu kumbe ajausoma wala kuuona, ndio maana ilikuwa nimeambiwa, nimesikia, nimesimuliwa. Sasa aliusemea vipi na ilihali ajuhi hata ukoje?
Mpaka hapo hamjaelewa somo kwamba mswada umesainiwa? kwn hamjui uongozi wa kisanii unavyofanya kazi? wapinzani walionywa kuufanya mchakato wa katiba kuwa mradi wa rais na hilo tayari ni bao la kisigino halafu bado wazee wa matamko na wazee wa kuokoa jahazi wanasema wataingia ikulu uchaguzi ujao kivipi yani lipi mmeweza mpaka sasa zaidi ya kuvalishwa mikenge kwa kuendekeza kelele badala ya kutafakari mambo kwa kina
 
Hivi inachukua siku ngapi kwa Documet kutoka Bungeni mpaka Ikulu?
Au Umetumwa kwa kutumia Bajaji?

Alafu kumbe ajausoma wala kuuona, ndio maana ilikuwa nimeambiwa, nimesikia, nimesimuliwa. Sasa aliusemea vipi na ilihali ajuhi hata ukoje?

.....Kibanga hii inawezekana Tanzania tu......
 
Hahahaha,leo nyuzi kweli zimekua nyuzi yaani kote ni hot sijui nijigawe vipi.
Mswaada utasainiwa,then kama kuna mabadiliko yanazungumzika,then utarudi tena bungeni,huh?.

Huko ndo kujizonga na kuchanganyikiwa!
 
kikwete bana....ivi kuna watu wanategemea kitu cha maana kutoka kwake kweli...? itakuwa ndoto za mchana

Lisilowezekana kwa utashi wa mwanadamu kwa Mungu linawezekana, piga sala Mkuu tupate katiba mpya yenye manufaa kwetu na vizazi vijavyo.
 
Kumbe maneno yote yale hata
muswaada wenyewe hajausoma? Sasa yale aliyosema yanajadilika kayatoa
wapi? Au ndiyo yale ya NIMEAMBIWA?

kwani kabla haujaenda bungeni si umepitia Ikulu? kwani kuna kipi kipya kimeongezeka?
 
Safi sana JK

Kuna mtu kaleta habari kuwa umeshasainiwa kumbe ni uongo
Mods safi sana nimepitia ule uzi nimeona kama jamaa mmeshamtia korokoroni(Banned)

Ni vizuri watu wakaacha utani kwenye masuala nyeti kama haya maana baadhi ya member presha ilishapanda sana.


JK uwe makini nyakati mbaya hizi kwanza unamaliza kipindi chako cha Uongozi

Pili km utakumbuka vzr ndy wakati km huu enzi za Mkapa watu walikwenda kutia saini wizi wa EPA

Viongozi wa Idara,Taasisi walitishwa na watu wachache wakakwapua kila kitu.


Uwe makini mno.
 
Hivi huwa TZ ina haraka gani na sheria na miswada ya sheria zake? Kwanini sheria "ipitishwe" bungeni kwa njia halali na sahihi, ijadiliwe, hadi ipelekwe kwa Rais kusainiwa, halafu hapohapo baada ya kusainiwa irudishwe kufanyiwa marekebisho hata kabla haijaanza kutumika? Just rubber-stamping from law makers au uelewa mdogo wa masuala ya kisheria au ushabiki wa kichama na kisiasa wa watunga sheria?
 
Teh teh, watanzania tuna rais wa Kuambiwa, kusimuliwa nk. Kikwete kaupata urais kirahisi sana, ila kuongoza kwake ni kama mpiga ramli tu! Hivi kwa nini alazimishwe kuusaini huo mswada? Shame on him,anadhalilisha taasisi ya urais!
 
Hawa jamaa wanatuzuga ili tusiandamane tarehe 10. Nina mashaka kabisa Rais ameusaini muswada. Kikwete ni mzoefu wa kula matapishi yake mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Leo, Jumatatu, Oktoba 7, 2013, zimetungwa habari, zikaingizwa kwenye Mitandao ya Kijamii na kusambazwa sana zikidai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametia saini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambao ulipitishwa na Bunge katika Kikao chake cha mwezi uliopita.

Kuna mdau mmoja alisema inawezekana ni TISS wanapima upepo.

kulingana na ikulu kujibu haraka habari za kwenye "MITANDAO" nimebaki na maswali kibao.!!!
 
Watu acheni USHAMBA. Mswada kutiwa saini haimaanishi kuwa hauwezi kurekebishwa.

Kila sheria iliyopo kwenye vitabu vyetu inaweza kurekebishwa. Sheria pekee zisizoweza kurekebishwa ni zile zilizotoka kwa Mungu zilizopo kwenye vitabu vitakatifu.

Sasa kama anajua muswada unahitaji mabadiliko, why bother signing it!!?? Au ndiyo imekuwa fashion ya awamu hii kila mswada lazima usainiwe kwanza ndiyo ufanyiwe marekebisho siyo??
 
Ni majanga kuongozwa na rais Wa KUAMBIWA. Nina mashaka hatausoma ATAAMBIWA AUSAINI.sasa kama hajausoma ile hotuba ya juzi aliitoa ya nini? Nina mashaka hata ile hotuba ALIAMBIWA aisome ilivo...terrible

Ni kweli aliambiwa asome hivyo hivyo na ndio maana alimshambulia Lisu kwa maneno makali bila kujua kwamba hoja haikuwa ya Lisu bali ya kambi ya upinzani. Ni kituko kwa raisi kumshambulia mtu binafsi ambaye alikuwa anawakikisha maoni ya upande wa pili.
 
Damu na usalama wa raia wa tanzania tumuwekee raisi mikononi mwake
 
Hawa jamaa wanatuzuga ili tusiandamane tarehe 10. Nina mashaka kabisa Rais ameusaini muswada. Kikwete ni mzoefu wa kula matapishi yake mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Kwa hiyo kausaini chumbani kwake akiogopa nguvu ya umma siyo!!??
 
Hapa ni msimamo tu hakuna kupepesa macho mswada unasainiwa kwanza mambo mengine baadaye.
 
Safari hii Press release ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ina nafuu sana. Haina mipasho kama statements za nyuma.

Kuhusu rais ku-sign muswada. Ni kifungu gani cha sheria kinamtaka rais a-sign muswada hata kama anaamini muswada huo ni mbovu? Ukisoma statement ya Ikulu inaonekana kama - kisheria- Rais hawezi kukataa ku-sign muswada ukishapitishwa bungeni. Hii ni sahihi?
 
Kumbe maneno yote yale hata muswaada wenyewe hajausoma? Sasa yale aliyosema yanajadilika kayatoa wapi? Au ndiyo yale ya NIMEAMBIWA?
Mimi ninamashaka na source ya huu uzi kwani ukiangalia barua yenyewe haina hata sahihi ala muhuli wa kulugenzi ya habari Ikulu sasa sijui ndio mfumo mpya. Nadhani mleta uzi anapima upepo wa wanajanvi kujua wata respond vipi hukusu hili. Kikubwa baba riz anatakiwa kuja watanzania tnata asiusaini huo mswada kwani hauna maslahi yetu mapana kwa maisha leo na kesho.
 
Inamaana mheshimiwa rais ha apply akili za kong'onda? Hachanganyi na zake? Kama ndo hivyo washauri wake wana dhambi kubwa zaidi!
 
Mheshimwa JK Aalitabiliwa miaka mingi kabla ya mkoloni kuwa ndiye ELEMBESHA yaani MSAWAZISHAJI ambaye atarekebisha na kuganga hitilafu zote. Uwezo alio nao wa usikivu na uvumilivu sio wa kwake ni nguvu kutoka kwa Mungu , na hili suala la wapinzani atalimaliza na kila Mtanzania atamkubali. Ndiyo maana utabili unasena ndiye atakuwa Rais wa mwisho katika utawala huu wa sasa na baada ya hapo kutakuwa na utawala mseto
 
Ni kwa mujibu wa Taarifa toka Ikulu:


Na nyingine:
Nakumbuka mwenz uliopita mkuu wa kaya alipokuwa US alirusha sana mate ,aliwadhihaki wapinzani watz wengine waliopinga kilichofanyika bungeni . Mbona sasa wanashindwa tembea juu ya maneno yao kama chama tawala !
 
Back
Top Bottom