Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Waungwana, hoja ya msingi hapa si kusaini au kutosaini. Hoja ni mchakato au ramani inayotakiwa na walio wengi ya kutupatia katiba bora kwa miaka mingine 50 ya Tanzania. Rais asaini au asisaini, sisi tunachotaka mswaada URUDI BUNGENI ukajadiliwe upya pamoja na kuwashirikisha washirika wa Muungano (Zanzibar).

HAYO NDIO YANAYOTAKIWA
NA WAPENDA AMANI ili tuanze vyema na kumaliza vyema.

Tusipindishe maneno...hakuna kupinda pinda Waungwana.
 
Hii ngoma bado mbichi kabisa viongozi wetu wa upinzani wasilale .kuna ka mchezo kabaya kako kanaendelea
 
Mambo mengine si ya kuletea mzaha! hapo inabidi atoe jibu moja tu; Je atausaini au hatausaini?
 
kwa hili namkubali, lakini aachane na ya kuambiwa hambina na wakina 'Lkuvi, wasira na nape kwani ni wanafiki
 
b na c katika taarifa ya ikulu ndo kitakachofanyika. In fact b na c nikuwaweka watanzania kisaikolojia...mh ameisha saini.
 
Mpaka sasa sijajua Kikwete ana matatizo gani kiakili.
Je huu ni Woga wa Kikwete dhidi ya Wapinzani au Usanii wa Kikwete dhidi ya watanzania?

kama ni usanii dhidi ya watanzania, basi aangalie sana asije akasababisha machafuko ktk nchi yetu.
 
Wewe gamba gumu wauwau soma press release ya kurugenzi ya mawasiliano Ikulu inayosema kuwa ofisi ya raisi imeanza mawasiliano na vyama vya siasa ili akutane nao kujadili mapungufu yaliyopo katika muswada wa marekebisho ya katiba ya mabadiliko ya katiba.

Sasa hayo mauzauza uliyolishwa hapo lumumba hayana maana yoyote katika mjadala huu zaidi ya kukubainisha jinsi unavyokurupuka kuandika utumbo bila kufuatilia taarifa kutoka katika vyanzo vingine.
 
Last edited by a moderator:
Hivi inachukua siku ngapi kwa Documet kutoka Bungeni mpaka Ikulu?
Au Umetumwa kwa kutumia Bajaji?


Alafu kumbe ajausoma wala kuuona, ndio maana ilikuwa nimeambiwa, nimesikia, nimesimuliwa. Sasa aliusemea vipi na ilihali ajuhi hata ukoje?

hahahhahaaaaaa,,,,,jf bhana kuna viumbe wanachekesha sana,,,,,
 
kwani kabla haujaenda bungeni si umepitia Ikulu? kwani kuna kipi kipya kimeongezeka?

Wewe unampongeza JK au unawapongeza JF kwa kumpa mtu Ban?
Habari ya Muswada kusainiwa na Mh Rais zilisambaa ktk mitandao yote. Na ndio maana Kurugenzi ya habari Ikulu iliona kuna umuhimu wa kutoa ufafanuzi juu ya jambo hilo.

Changia mada wacha Kimbelembele cha kujipendekaza kwa uongozi wa JF.
 
Kauri ya rais ukulu inasema mswada ukifika kwa rais atausaini kwa kuwa umepitia hatua zote za kisheria na kikatiba hicho ndicho kitu cha msingi sana na ndiyo ukweli.
 
Safi sana JK

Kuna mtu kaleta habari kuwa umeshasainiwa kumbe ni uongo
Mods safi sana nimepitia ule uzi nimeona kama jamaa mmeshamtia korokoroni(Banned)

Ni vizuri watu wakaacha utani kwenye masuala nyeti kama haya maana baadhi ya member presha ilishapanda sana.


JK uwe makini nyakati mbaya hizi kwanza unamaliza kipindi chako cha Uongozi

Pili km utakumbuka vzr ndy wakati km huu enzi za Mkapa watu walikwenda kutia saini wizi wa EPA

Viongozi wa Idara,Taasisi walitishwa na watu wachache wakakwapua kila kitu.


Uwe makini mno.

Wewe upo hapa kwa ajili ya kumpongeza JK au upo kwa kuipongeza uongozi wa JF kwa kuwapa BAN watu?
Habari za Rais kusain Muswada ule zilizagaa leo ktk mitandao yote. Na ndio maana Kurugenzi ya habari Ikulu ilionelea ni bora kutolea ufafanuzi jambo hilo!

CHANGIA HOJA Wacha Kiherehere cha kujipendekeza kwa uongozi wa JF.
 
Wewe unampongeza JK au unawapongeza JF kwa kumpa mtu Ban?
Habari ya Muswada kusainiwa na Mh Rais zilisambaa ktk mitandao yote. Na ndio maana Kurugenzi ya habari Ikulu iliona kuna umuhimu wa kutoa ufafanuzi juu ya jambo hilo.

Changia mada wacha Kimbelembele cha kujipendekaza kwa uongozi wa JF.
Mkuu mbona unaonekana umevurugwa hizo jazba za nini mbona mchangiaji kachangia vizuri,
wewe huna mamlaka ya kumfundisha mtu namna ya kuchangia kwani wewe nani hapa jf acha utoto wako.
 
Tatizo ndg zangu za wa Lumumba Supporter mnalifanya Jambo hili km laCHAMA! nimuhimu kujichunguza haiwezekani wa2 wote wenye mawazo Huru wapingane nanyinyi lazima kuna shida. Kwenye issue hii ya KATIBA cjui km mtasalimika! manake mnavyopayuka! wananch wengi wanaijua Rangi halis ya CCM hata wale ambao walikuwa wagumu kuelewa ss wanajua kwamba 2lifuga MBWA MWITU kwa miaka mingi amezoea kuishi Mjini ss hataki kurudi Porin ndg zangu acheni woga wakuondoka Madarakani NCH hii niyetu sote hakuna mwenye HATI MILIKI
 
Back
Top Bottom