Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barua yenyewe haina hhata sahihi ya mwandishi kazi tunayo hawa magamba wanapima upepo wa mambo ila mswada baba riz anao na kaanguuka sahihhiHawa jamaa wanatuzuga ili tusiandamane tarehe 10. Nina mashaka kabisa Rais ameusaini muswada. Kikwete ni mzoefu wa kula matapishi yake mwenyewe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kumbe maneno yote yale hata muswaada wenyewe hajausoma? Sasa yale aliyosema yanajadilika kayatoa wapi? Au ndiyo yale ya NIMEAMBIWA?
Kwa hiyo miswada inapelekwa Bungeni ili kugongwa muhuri wa bunge pekee? Ndio maana wabunge waCCM hawajadili miswada bali wanajadili Chadema na viongozi wake tuu kwa vile kazi ya kugonga muhuri haina shida?kwani kabla haujaenda bungeni si umepitia Ikulu? kwani kuna kipi kipya kimeongezeka?
Hakuna mahali popote duniani
ambapo mswada wa sheria uliopitishwa kihalali bungeni watu hupita
mitaani na kutembea jangwani wakinshinikza asiusaini. Nikirudi kwa kauli
yake kwamba wabunge warudi bungeni wafanye marekebisho hakuamaanisha
kuwa mswada hatausaini. Sana sana alichosema ambacho nataka watu fulani
ambao vichwa vyao ni vigumu kuelewa waelewe kuwa Mh Rais alizungumzia
kanuni za Bunge kuhusu kamati ya Bunge ya sheria na katiba kutoenda
Zanzibar. Baada ya maelezo yake akasema hakuna mahali popote, narudia
hakuna mahali popote ambapo kanuni za kudumu za bunge zinasema kamati
(yoyote) inabidi iende Zanzibar na kama wabunge wanaona iwe hivyo basi
warudi Bungeni wafanye marekebisho ya kanuni. Sasa bahati mbaya kuna
watu uelewa wao ni hafifu na wako humu kijiweni; walidhani Mh KASEMA
MSWADA URUDI BUNGENI, UFINYU WA FIKRA NA UDHAIFU WA KUELEWA uliwafanya
hawa DUNDUNDU wadhani kihivyo na kuanza kusherehekea ufinyu wao wa
kuelewa. Ndani mwao kuna wengine wanaelewa alichosema Mh Rais lakini kwa
kuwa wanaona wakiwaelimisha alichosema Mh watawachukia kwa kuwa vichwa
vimejaa maji tu yaani ni watu wanaoelewa kutokuelewa. Mmoja wao ni
Tundu, huyu anajua alichosema Mh Rais lakini amaeacha DUNDUNDU wachemke
wenyewe wakidhani yupo pamoja nao. Fikiri kabla ya kutenda, na
Waingereza wana msemo mzuri tu kwa kiswahili kisicho rasmi unasema,
husiseme kabla hujafanya utafiti maana utaonekana boya na
kituko.:frusty:
Hakuna mahali popote duniani ambapo mswada wa sheria uliopitishwa kihalali bungeni watu hupita mitaani na kutembea jangwani wakinshinikza asiusaini. Nikirudi kwa kauli yake kwamba wabunge warudi bungeni wafanye marekebisho hakuamaanisha kuwa mswada hatausaini. Sana sana alichosema ambacho nataka watu fulani ambao vichwa vyao ni vigumu kuelewa waelewe kuwa Mh Rais alizungumzia kanuni za Bunge kuhusu kamati ya Bunge ya sheria na katiba kutoenda Zanzibar. Baada ya maelezo yake akasema hakuna mahali popote, narudia hakuna mahali popote ambapo kanuni za kudumu za bunge zinasema kamati (yoyote) inabidi iende Zanzibar na kama wabunge wanaona iwe hivyo basi warudi Bungeni wafanye marekebisho ya kanuni. Sasa bahati mbaya kuna watu uelewa wao ni hafifu na wako humu kijiweni; walidhani Mh KASEMA MSWADA URUDI BUNGENI, UFINYU WA FIKRA NA UDHAIFU WA KUELEWA uliwafanya hawa DUNDUNDU wadhani kihivyo na kuanza kusherehekea ufinyu wao wa kuelewa. Ndani mwao kuna wengine wanaelewa alichosema Mh Rais lakini kwa kuwa wanaona wakiwaelimisha alichosema Mh watawachukia kwa kuwa vichwa vimejaa maji tu yaani ni watu wanaoelewa kutokuelewa. Mmoja wao ni Tundu, huyu anajua alichosema Mh Rais lakini amaeacha DUNDUNDU wachemke wenyewe wakidhani yupo pamoja nao. Fikiri kabla ya kutenda, na Waingereza wana msemo mzuri tu kwa kiswahili kisicho rasmi unasema, husiseme kabla hujafanya utafiti maana utaonekana boya na kituko.:frusty:
Kumbe maneno yote yale hata muswaada wenyewe hajausoma? Sasa yale aliyosema yanajadilika kayatoa wapi? Au ndiyo yale ya NIMEAMBIWA?
Mhhh huu mtego huu mbona kama wanaandaa mazingira ya kusainiwa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ni kwa mujibu wa Taarifa toka Ikulu:
Na nyingine: