Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo BAVICHA mabango yetu hayana kazi tena? Au maandamano bado yapo palepale?
akili yako mbofu,mtoto akililia pipi ukimnunulia then.AKILI ZA LUMUMBA BANGI TUPUKwahiyo BAVICHA mabango yetu hayana kazi tena? Au maandamano bado yapo palepale?
Hawa viongozi wetu wa CHADEMA ni walaghai. Wanapenda kututumia ili wapate nafasi ya kwenda Ikulu kunywa maji ya matunda.
Wanatutangazia maandamano halafu wakishaitwa Ikulu maandamano yanafutwa.
Kumbe maneno yote yale hata muswaada wenyewe hajausoma? Sasa yale aliyosema yanajadilika kayatoa wapi? Au ndiyo yale ya NIMEAMBIWA?
Hivi inachukua siku ngapi kwa Documet kutoka Bungeni mpaka Ikulu?
Au Umetumwa kwa kutumia Bajaji?
Alafu kumbe ajausoma wala kuuona, ndio maana ilikuwa nimeambiwa, nimesikia, nimesimuliwa. Sasa aliusemea vipi na ilihali ajuhi hata ukoje?
Maandamano yapo au ? Chadema wameshaafungwa goli mezani ???
"Heri mimi sijasema." Ninachowakumbusha Viongozi wa Upinzani walioitwa huko juu kwamba kwamba kwa kila dakika, sekunde,hata nukta ya mazungumzo yao,wasiusahau umma wa Watanzania walioko nyuma yao. Yaani ikiwezekana waongee wakiwa wamekaa chini sakafuni,kuliko namna yoyote ile itakayowafanya kunyamaza mara wakishatoka huko.