mi sijawahi ona wala kusikia mtu anasaini kitu ambacho hajakipata na kukiangalia kwa kina.
lkn kwa hawa washikaji wamegeuza magogoni ni sehemu ya kupiga soga basi si ajabu rasimu ya marekebisho ya katiba ikasainiwa bila ya mkuru kuupitia na kuosoma kwa makini kwani yeye huridhika na soga za kuambiwa,kusikia na kuelezwa.
Haya kazi kwako chifu Mangungo wa msovero, wananchi tunasubiria another bogus treaty.
Kifupi hapo hakuna jipya toka kwa mshua kwani jamaa anaona hatua moja mbele toka pale aliposimama.
nchi ya majuha hii,watu wanajiburuzia watakavyo.
eeeeeeee tanganyika na watanganyika ,uu wapi utanganyika wenu mlioupigania toka kwa mkoloni mweupe? ona sasa vibaka" wakoloni weusi" wanavyoichezea nchi hii ,yenye kila aina ya neema toka kwa mungu, mithili ya mpira wa kona waushupaliavyo wachezaji uwanjani.
enyi watanganyika tusimame kidete kupigania mkataba wetu sisi wananchi dhidi ya viongozi tunaowapa mamlaka ili kuweza kuliletea taifa maendeleo.
tusikubali vibaka hawa wachache wahodhi kila kitu kinachohusu taifa na uhai wa wananchi wake kwa ujumla.
We have to stand up firm and fight for our own rebirth after a long spell of life under corruption,bribery,mismanagement as well as squandering.
So much exhausted with this sort of bondage that we were used to.
Need to be exonerated from all those agonies that selfish leaders whom we vested our interests have gone astray.
But enough jibber...jabbering here, is on whether the issue get materialized as many would wish it to happen under these arrogant leaders.
#so_obsessed .
lkn kwa hawa washikaji wamegeuza magogoni ni sehemu ya kupiga soga basi si ajabu rasimu ya marekebisho ya katiba ikasainiwa bila ya mkuru kuupitia na kuosoma kwa makini kwani yeye huridhika na soga za kuambiwa,kusikia na kuelezwa.
Haya kazi kwako chifu Mangungo wa msovero, wananchi tunasubiria another bogus treaty.
Kifupi hapo hakuna jipya toka kwa mshua kwani jamaa anaona hatua moja mbele toka pale aliposimama.
nchi ya majuha hii,watu wanajiburuzia watakavyo.
eeeeeeee tanganyika na watanganyika ,uu wapi utanganyika wenu mlioupigania toka kwa mkoloni mweupe? ona sasa vibaka" wakoloni weusi" wanavyoichezea nchi hii ,yenye kila aina ya neema toka kwa mungu, mithili ya mpira wa kona waushupaliavyo wachezaji uwanjani.
enyi watanganyika tusimame kidete kupigania mkataba wetu sisi wananchi dhidi ya viongozi tunaowapa mamlaka ili kuweza kuliletea taifa maendeleo.
tusikubali vibaka hawa wachache wahodhi kila kitu kinachohusu taifa na uhai wa wananchi wake kwa ujumla.
We have to stand up firm and fight for our own rebirth after a long spell of life under corruption,bribery,mismanagement as well as squandering.
So much exhausted with this sort of bondage that we were used to.
Need to be exonerated from all those agonies that selfish leaders whom we vested our interests have gone astray.
But enough jibber...jabbering here, is on whether the issue get materialized as many would wish it to happen under these arrogant leaders.
#so_obsessed .