Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

Ikulu yakanusha Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba!

asante jk,sikiliza upande wa pili ujijengee heshima na kumbukumbu ambyo kamwe haitaftika ndani ya Taifa hili.
JK hawezi acha kutia saini, weeeee kama hajpendi basi aache maana sisi abunge wake yushamtangazia gogoro asipoyia saini na hana juri hiyo.... Thubutu!
 
Mchakato wa katiba ulianza kwa njia ya garbage in, hata matokeo yake yatakuwa ni garbage out.

Kinachofanyika kwa sasa ni kupunguza 'madudu' ndani ya mchakato wa bora Katiba.
 
Watu acheni USHAMBA. Mswada kutiwa saini haimaanishi kuwa hauwezi kurekebishwa.

Kila sheria iliyopo kwenye vitabu vyetu inaweza kurekebishwa. Sheria pekee zisizoweza kurekebishwa ni zile zilizotoka kwa Mungu zilizopo kwenye vitabu vitakatifu.
hizo zenyewe zinachakachulika tu.
 
JK hawezi acha kutia saini, weeeee kama hajpendi basi aache maana sisi abunge wake yushamtangazia gogoro asipoyia saini na hana juri hiyo.... Thubutu!
kweli kunakukosea ila unaonekana hujui kuandika au unaandika kwa kiherehere.tulia usiwe kama wanaosaini mkataba usiku halafu asubuhi wanaurekebisha.
 
Huo Muswada unasafirishwa kwa Punda kiasi kwamba mpaka leo haujamfikia Rais?
Stupid
 
Chadema hawana pa kugeukia, na waliomo humu fikra zao ni changa sana wanajua matusi na kejeli zaidi badala ya hoja kuntu.

Nyie andaeni maandamano na migomo ya kupata katiba ya kuipeleka chadema ikulu, wenzenu wanaandaa katiba ya wananchi wa Tanzania.

Rais ni taasisi siyo kikwete jamani, mpaka kitu kifike kwake kimepitia mikono mingi na kabla mswada haujaenda kwake lazima ofisi ya spika na katibu wa bunge ijiridhishe pasipo shaka.

Sasa subirieni msipopigwa goli jingine baada ya mgomo wenu wa tarehe 10 kogomewa na wananchi hahaaa
 
Hiyo sain ya mheshimiwa wetu na yenyewe tena imekosa hadhi kama atasain then siku hiyo hiyo itenguliwe inashangaza sana ni kwa nn basi asialishe kusain after mabadiliko ndo asain? Hii yote inaonyesha rais anafanya kazi ikulu na watu wenye fikra finyu na wanaomfanya aonekane dhaifu kuliko marais wote wa mbele yake kama sivyo bas hao watu wanahitaj updated ya nguvu yawezekana walianza kazi enz za mwiny mpaka sasa wapo so they outdated siku kuna logic challenge nying sna tofaut na enz hizo
 
Ni kosa kubwa sana watu wanajibizana kwa kejeli humu JF. Tunachotegea ni kufundishana na kulumbana humu JF. Kutukanana, au kukejeliana huakujengi kila wakati ni kubomoa. Nawaomba tuchangie kwa manufaa ya wote. Tutoe ushauri mzuri ambao hata rais na mawaziri wanaweza kuutumia kuleta mabadiliko chanya katika nchi yetu.
 
Eti Rais hajasoma mswaada! Ulifikaje bungeni kabla hajauona na kusoma. Mswaada ni wa serikali umepita katika baraza la mawaziri chini ya uenyekiti wake kabla haujaenda Bungeni. Sasa hajausoma VIPI ? Ujinga kweli
ni mzigo.
 
Sailor1 elewa tofauti ya kuusoma mswada na mswada kuletwa rasmi kwaajili ya saini. Nadhani kuna haja ya kujitafakari upya badala ya kutafuta pa kutokea, plan A na B zimeshindikana msikurupuke mpaka watu wajue hamkua na plan C na D.

Kikwete hakusema hajauona au hajausoma, hata msemaji wa ikuly hajasema kama rais hajausoma bali mswada haujaletwa rasmi kisheria kwaajili ya saini.
 
watanzania tusiwe na wasiwasi.... wanataka upite ili katiba iwalinde wao sio....
sasa wakishasaini sie 2015 tuwaondoe madarakani ndo watajua mswada ulikuwa mzuri au LaaH
 
Kumbe hata hajausoma sasa alitokwa na povu la nini siangesema tu mswada sijauona bado angeusoma kwanza nduyo apate kunene aliyoyanena au huwa Asomagi huwa anajua kutia signiture tu duh kazi ipo.
Halafu inakuwaje kamati ya sheria imeshaanza vikao ikiwa rais hata huo mswaada hajasoma na unachukuwa muda gani mswaada kumfikia au bado ccm wanaendelea kuuchakachua?
 
Hatuna rais,
anatumia maneno "nimeambiwa,nimesikia,nimesimuliwa" kuusemea mswada ambao hata hajausoma akajua una nini,bogus rais ever

Sidhani kama atausoma, kama alitangulia kuutolea majibu hawezi kurudi tena nyuma, sana sana atauliza aonyeshwe mahali pa kusign amalize kazi. Hapendagi vitu vigumu huyoo, ndio maana akaona bora ajitahidi kupata dr. dr. dr. kabla hajamaliza kipindi chake kwa kuwa kuipata kwa njia ya darasa ni ndoto
 
Alichosema Rais ndicho allichosema Wassira
acha stori za kuunga unga na upotoshaji.

wassira alisema hakuna meza ya majadilino na wapinzani na JK kasema meza ya majadiliano ipo wazi, upo hapo??
 
JK hawezi acha kutia saini, weeeee kama hajpendi basi aache maana sisi abunge wake yushamtangazia gogoro asipoyia saini na hana juri hiyo.... Thubutu!

kwenye red:kama na wewe unajiita mbunge basi ndio maana mswada ni wa ovyo sababu wabunge type yako msiojua hata kuandika ndio mnatuharibia nchi kwa kusema ndioooooooooooooooooooooooo...nyambaf
 
Wabunge wa ccm wapo zaidi ya 280 lkn walishindwa kuona mapungufu yaliyopo ktk huo muswada unaoabishaniwa kusainiwa au kutokusainiwa.kweli wabunge wa ccm ni janga la taifa kwa sasa.
 
Hapa napata shida kidogo;Kwanza tumehakikishiwa kwamba Muswada haujapokelewa ofisi ya rais ikulu.Tunaambiwa eti huenda umeshatumwa lakini bado haujamfikia rais.

Najiuliza kama umeshatumwa unawezekana upo kwa nani mpaka mkurugenzi wa habari asijue?

Kama hana uhakika kama umetumwa au la kwanini asiwaulize bunge ili awe na uhakika anapoongelea jambo zito kama hili?Inawezekana hana mawasiliano na bunge?

Muswada unatumwa ikulu kwa njia gani?Inawezekana umekwama au umepotea njiani?

Inawezekana kweli jambo zito kama hili lisijulikane liko wapi alafu watu walichukulie POA TU?

Hata wangeutumakama percel kwa basi la SHABIBY ungefika siku hiyohiyo.
 
Kikwete awaita Mbowe,Lipumba,Mbatia Ikulu

headline_bullet.jpg
Ni Jumapili na Jumananne ijayo
headline_bullet.jpg
Mbowe amtetea Lissu, ameonewa



Tanzania-October.jpeg


Rais Jakaya Kikwete




Kasoro hizo ni kutoshirikishwa kwa Zanzibar, madaraka ya Rais ya kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na kuvunjwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba baada ya kuwasilisha Rasimu badala ya kuendelea kuwapo hadi kura ya maoni.

Vyama hivyo licha ya wabunge wake kususia Bunge, pia vimeunda ushirikiano wa kupinga mchakato wa katiba kwa maelezo kuwa umehodhiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tayari wenyeviti wake Profesa Ibrahim Lipumba (CUF), Freeman Mbowe (Chadema) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi) wameshafanya mikutano ya kadhara jijiji Dar es Salaam na Zanzibar na kesho kutwa vyama vyao vimeandaa maadamano ya nchi nzima na baadaye kufanya mikutano mingine katika mikoa yote kuwashawishi wananchi waukatae mchakato huo.
Aidha, vyama hivyo na makundi ya wanaharakati wanamtaka Rais Kikwete asiusaini muswada huo kwa maelezo kuwa utaleta katiba mbovu ambayo haina malahi kwa taifa.

Katika hatua nyingine, Ikulu imekanusha taarifa ambazo jana ziliingizwa katika mitandao ya kijamii na kusambazwa zikidai kuwa Rais Kikwete ametia saini muswada huo.

Ikulu ilisema Kwanza, Ofisi ya Rais haijapokea Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na kwamba inawezekana muswada huo umekwishakutumwa kutoka Bungeni, lakini haujamfikia Rais, hivyo, kama haujamfikia, hawezi akawa ameutia saini
 
Back
Top Bottom