Ikulu yawajibu Maaskofu wa Pentekoste kuhusu Wajumbe wa Bunge la Katiba

Ikulu yawajibu Maaskofu wa Pentekoste kuhusu Wajumbe wa Bunge la Katiba

Ikulu imetoa taarifa ndefu kuhusu madai ya maaskofu wa pentekoste (PCT) kuwa wametengwa kwa mjumbe wao kutokuchaguliwa katika bunge la katiba licha ya kupeleka majina kwa rais.

Kwa ufupi ikulu imesema baada ya uchunguzi imegundua kuwa maaskofu wa pentekoste hawakuwasilisha majina kwa njia ya kawaida, kujiteua ama kwa kuchelewa kwani database ya ikulu haijaonyesha ripoti ya maaskofu hao kutuma majina kwao.

Aidha ikulu imesema mjumbe mmoja alieteuliwa kwenye taasiai za dini Bi Edna Adam ametoka kanisa la EAGT ambao ni miongoni kwa wanachama wa baraza la maaakofu wa Pentekoste licha ya kwamba jina lake liliwasilishwa na taasisi nyingine ya dini na sio Baraza hilo la Maaskofu wa Pentekoste. Hivyo ikulu imewaomba maaskofu hao kumtumia mjumbe huyo kama mwakilishi wao na kuwa watawakilishwa kikamilifu.
Tamko la Ikulu ni la Uongo na ni mwendelezo wa kuwadharau Wapentecosite kwa sababu za Udini.

Naomba Ikulu ijibu Maswali haya:
1.Ni kwa nini ikulu itumie mda wa siku kumi kujua kwamba PCT walipeleka majina au la???.Hapo kuna agenda kuwa kuwa walikuwa wanapika taarifa!!!
Uzoefu unaonyesha kuwa ukiona matokeo ya kura yanacheleshwa ujue CCM imeshindwa na kuna udanganyifu unafanyika ili kupotosha jamii

2.Ikulu imekuwa makini sana kuwatafuta PCT kama taasisi kubwa nchini na kuwaomba wasidie kutoa elimu ya Ujii wa sheria bili Shuruti na kampeni hii ilizinduliwa na Rais Mwinyi na wamekuwa wepesi sana kupokea nyaraka za PCT zinazompongeza Kikwete sasa kwa nini waseme nyaraka za uteuzi hawakuziona??

3.Taarifa iliyopo ni kwamba PCT walikaa kikao na kuteua majina tisa ambapo kabla ya uteuzi huo mtu wa Ikulu alikuwa anawasiliana nao hadi dakika ya Mwisho. Sasa ni ajabu kuona kwamba PCT wamepeleka majina tisa harafu hayaonekani lakini lakini tamko la kumupongeza kikwete linaonekana!!

4.Baada ya kupeleka majina hayo Walimwaga watu kutoka Ikulu kwenda kufuatilia majina hayo yaliyopendekezwa na PCT sambamba na yale ya taasisi zingine sasa iweje waseme kuwa hawakupata wakati walituma kupeleleza??

5.Kama ni kweli hawakupata majina hayo ni kwa nini JK asiwaite Maaskofu ili kuwahoji juu ya walikopeleka majina badala ya kuanza kujibu kwenye media na kuwadhalilisha??. Kama kweli Jk angekuwa anawajali asingefanya hivyo!!
6.Hoja ya kwamba PCT wawakilishwe na mjumbe mwingine Yaani Bi Edaliyeteuliwa na taasisis nyingine ni dharau nyingine kubwa.
Ni kwa nini CCM isiwakilishwe na mjumbe mmoja??
Huwezi kusema ati Hamadi Rashidi aliyeteuliwa na CUF kama Mbunge awakilishe Bakwata kwa kuwa ni Muislamu !!! Haya ni matusi na dharau kubwa kwa Wapentecosite!!! Mimi siamini kama kweli tamko hili ni la Ikulu!!!
Nina dhani JK anapaswa kutafakali upya majibu haya kabla hajajibu vinginevyo .........
Nitaiweka statement yote later licha ya kwamba ni ndefu sanaaa.
 
Hao wanaojiita maskofu ni wapuuzi.......yaani wanatenganisha hata wakristo?......kwani sheria inataja kuhusu madhehebu.....au dini?.......

Wewe uwe na adabu kwa Watumishi wa Mungu wa madhehebu yote. Ndiyo, Sheria inataja juu ya kundi la Taasisi za kidini.
 
Ikulu imetoa taarifa ndefu kuhusu madai ya maaskofu wa pentekoste (PCT) kuwa wametengwa kwa mjumbe wao kutokuchaguliwa katika bunge la katiba licha ya kupeleka majina kwa rais.

Kwa ufupi ikulu imesema baada ya uchunguzi imegundua kuwa maaskofu wa pentekoste hawakuwasilisha majina kwa njia ya kawaida, kujiteua ama kwa kuchelewa kwani database ya ikulu haijaonyesha ripoti ya maaskofu hao kutuma majina kwao.

Aidha ikulu imesema mjumbe mmoja alieteuliwa kwenye taasiai za dini Bi Edna Adam ametoka kanisa la EAGT ambao ni miongoni kwa wanachama wa baraza la maaakofu wa Pentekoste licha ya kwamba jina lake liliwasilishwa na taasisi nyingine ya dini na sio Baraza hilo la Maaskofu wa Pentekoste. Hivyo ikulu imewaomba maaskofu hao kumtumia mjumbe huyo kama mwakilishi wao na kuwa watawakilishwa kikamilifu.

Nitaiweka statement yote later licha ya kwamba ni ndefu sanaaa.



Tamko la Ikulu ni la Uongo na ni mwendelezo wa kuwadharau Wapentecosite kwa sababu za Udini.

Naomba Ikulu ijibu Maswali haya:
1.Ni kwa nini ikulu itumie mda wa siku kumi kujua kwamba PCT walipeleka majina au la???.Hapo kuna agenda kuwa kuwa walikuwa wanapika taarifa!!!
Uzoefu unaonyesha kuwa ukiona matokeo ya kura yanacheleshwa ujue CCM imeshindwa na kuna udanganyifu unafanyika ili kupotosha jamii

2.Ikulu imekuwa makini sana kuwatafuta PCT kama taasisi kubwa nchini na kuwaomba wasidie kutoa elimu ya Ujii wa sheria bili Shuruti na kampeni hii ilizinduliwa na Rais Mwinyi na wamekuwa wepesi sana kupokea nyaraka za PCT zinazompongeza Kikwete sasa kwa nini waseme nyaraka za uteuzi hawakuziona??

3.Taarifa iliyopo ni kwamba PCT walikaa kikao na kuteua majina tisa ambapo kabla ya uteuzi huo mtu wa Ikulu alikuwa anawasiliana nao hadi dakika ya Mwisho. Sasa ni ajabu kuona kwamba PCT wamepeleka majina tisa harafu hayaonekani lakini lakini tamko la kumupongeza kikwete linaonekana!!

4.Baada ya kupeleka majina hayo Walimwaga watu kutoka Ikulu kwenda kufuatilia majina hayo yaliyopendekezwa na PCT sambamba na yale ya taasisi zingine sasa iweje waseme kuwa hawakupata wakati walituma kupeleleza??

5.Kama ni kweli hawakupata majina hayo ni kwa nini JK asiwaite Maaskofu ili kuwahoji juu ya walikopeleka majina badala ya kuanza kujibu kwenye media na kuwadhalilisha??. Kama kweli Jk angekuwa anawajali asingefanya hivyo!!
6.Hoja ya kwamba PCT wawakilishwe na mjumbe mwingine yaani Bi Edina Adam wa CCM ,aliyeteuliwa na taasisis nyingine ni dharau nyingine kubwa.
Ni kwa nini CCM isiwakilishwe na mjumbe mmoja??
Huwezi kusema ati Hamadi Rashidi aliyeteuliwa na CUF kama Mbunge awakilishe Bakwata kwa kuwa ni Muislamu !!! Haya ni matusi na dharau kubwa kwa Wapentecosite!!! Mimi siamini kama kweli tamko hili ni la Ikulu!!!
Nina dhani JK anapaswa kutafakali upya majibu haya kabla hajajibu vinginevyo .........
 
Mfumo kristo

Hata kama huo ndo mfumo unaotawala kwa sasa...kwanini wanatuonyeshea? akina sie pangu pakavu tia mchuzi tunaichukulia hii kama provocative move...Ikulu lazima wawe makini sana na hawa watu wenye kutumia dini kuvuruga amani ya nchi yetu ...
 
Wapentekoste inawabidi mtafakari kwa kina juu ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi. Waganga wa kienyeji wana muwakilishi, lakini ninyi mnadharauliwa kiasi hiki! Mtafakari!
 
Ikulu imetoa taarifa ndefu kuhusu madai ya maaskofu wa pentekoste (PCT) kuwa wametengwa kwa mjumbe wao kutokuchaguliwa katika bunge la katiba licha ya kupeleka majina kwa rais.

Kwa ufupi ikulu imesema baada ya uchunguzi imegundua kuwa maaskofu wa pentekoste hawakuwasilisha majina kwa njia ya kawaida, kujiteua ama kwa kuchelewa kwani database ya ikulu haijaonyesha ripoti ya maaskofu hao kutuma majina kwao.

Aidha ikulu imesema mjumbe mmoja alieteuliwa kwenye taasiai za dini Bi Edna Adam ametoka kanisa la EAGT ambao ni miongoni kwa wanachama wa baraza la maaakofu wa Pentekoste licha ya kwamba jina lake liliwasilishwa na taasisi nyingine ya dini na sio Baraza hilo la Maaskofu wa Pentekoste. Hivyo ikulu imewaomba maaskofu hao kumtumia mjumbe huyo kama mwakilishi wao na kuwa watawakilishwa kikamilifu.
Tamko la Ikulu ni la Uongo na ni mwendelezo wa kuwadharau Wapentecosite kwa sababu za Udini.

Naomba Ikulu ijibu Maswali haya:
1.Ni kwa nini ikulu itumie mda wa siku kumi kujua kwamba PCT walipeleka majina au la???.Hapo kuna agenda kuwa kuwa walikuwa wanapika taarifa!!!
Uzoefu unaonyesha kuwa ukiona matokeo ya kura yanacheleshwa ujue CCM imeshindwa na kuna udanganyifu unafanyika ili kupotosha jamii

2.Ikulu imekuwa makini sana kuwatafuta PCT kama taasisi kubwa nchini na kuwaomba wasidie kutoa elimu ya Ujii wa sheria bili Shuruti na kampeni hii ilizinduliwa na Rais Mwinyi na wamekuwa wepesi sana kupokea nyaraka za PCT zinazompongeza Kikwete sasa kwa nini waseme nyaraka za uteuzi hawakuziona??

3.Taarifa iliyopo ni kwamba PCT walikaa kikao na kuteua majina tisa ambapo kabla ya uteuzi huo mtu wa Ikulu alikuwa anawasiliana nao hadi dakika ya Mwisho. Sasa ni ajabu kuona kwamba PCT wamepeleka majina tisa harafu hayaonekani lakini lakini tamko la kumupongeza kikwete linaonekana!!

4.Baada ya kupeleka majina hayo Walimwaga watu kutoka Ikulu kwenda kufuatilia majina hayo yaliyopendekezwa na PCT sambamba na yale ya taasisi zingine sasa iweje waseme kuwa hawakupata wakati walituma kupeleleza??

5.Kama ni kweli hawakupata majina hayo ni kwa nini JK asiwaite Maaskofu ili kuwahoji juu ya walikopeleka majina badala ya kuanza kujibu kwenye media na kuwadhalilisha??. Kama kweli Jk angekuwa anawajali asingefanya hivyo!!
6.Hoja ya kwamba PCT wawakilishwe na mjumbe mwingine Yaani Bi Edaliyeteuliwa na taasisis nyingine ni dharau nyingine kubwa.
Ni kwa nini CCM isiwakilishwe na mjumbe mmoja??
Huwezi kusema ati Hamadi Rashidi aliyeteuliwa na CUF kama Mbunge awakilishe Bakwata kwa kuwa ni Muislamu !!! Haya ni matusi na dharau kubwa kwa Wapentecosite!!! Mimi siamini kama kweli tamko hili ni la Ikulu!!!
Nina dhani JK anapaswa kutafakali upya majibu haya kabla hajajibu vinginevyo .........
Nitaiweka statement yote later licha ya kwamba ni ndefu sanaaa.
Mkuu hizi nondo wakisoma watakimbia, hakuna wa kuzidaka pale!
 
Nchi ya ajabu sana hii, najiuliza hivi ingekuwa ni Sunni ama Shia ndo wameandika kulalamika kama hawa maaskofu ikulu ingejibu? kwanini hawa maaskofu ndo wanajiona wao ni makundi maalum wanataka nafasi maalum?

mfumo kristo unaiathiri sana tanzania
 
Wapentekoste inawabidi mtafakari kwa kina juu ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi. Waganga wa kienyeji wana muwakilishi, lakini ninyi mnadharauliwa kiasi hiki! Mtafakari!

mwakilishi wao yupo.pentekoste wamechemsha
 
Kama kweli hawakuwasilisha majina ingetosha kuwa sababu. Hii ya kusema kuna mtu anayetokea kwenye kanisa fulani itazua maswali unnecessarily. Maana zaidi ya 90% ya waliopo humo ni waumini wa dini fulani...
 
Ina maana maaskofu wa kipentekoste mlishindwa kujiteuwa! Mnatia aibu sasa, kumbe mnalalamika bure, tatizo lenu, mna umimi kama wapemba, ubaguzi.

We acha hizo, kwanza mimi siamini kama JK alipitia majina yaliyopendekezwa, naamini zaidi alikuwa keshajiteulia watu wake. Nilivyomsoma tangu awali rais wangu, hayuko sana kusikiliza maoni ya raia wake especially wasiokuwa wa itikadi yake kisiasa na hata kidini. Na hata kisiasa ni wale tu ambao ni wanamtandao, he didn't bother to check the names, ili iweje anyway! Wapeleke mawazo kinyume na ya kwake, hawezi JK jamani. Ila namsifu kitu kimoja, sio mwoga,anachokiamua anakifanya even if ni unfavourable to the nation and citizens anapiga tu, semeni mtachoka mtakaa kimya- ana guts za nguvu. Yaani hao wapentekoste wao warie tu
 
hivi wasabato masalia nao wana mwakilishi kwenye bunge la katiba,? nawakumbuka sana hawa jamaa walitaka kupanda ndege na kwenda ulaya bila ya kuwa na visa wala tiketi
 
Hata Mtikila ni Pentecoste si wangle sema ndio mwakilishi wao? Kingunge anawasilisha wachawi, JK angeweka waliookoka si majini ya Kingunge yangekosa nguvu...

Duhh...heheheheheheh!!! Sometimes Maaskofu wetu wa PCT wawe serious, waache kulialia walitaka nani apeleke majina kwa rais? tatizo kubwa hawana umoja, hawaaminiani wao kwa wao, PCT is a cracked association, wakae waiunde upya.
 
hivi wasabato masalia nao wana mwakilishi kwenye bunge la katiba,? nawakumbuka sana hawa jamaa walitaka kupanda ndege na kwenda ulaya bila ya kuwa na visa wala tiketi
hahahahahahaha mkuu umenikumbusha hawa sabato masalia walitaka kwenda kupanda ndege bure airport waende mbinguni sijui walishafika au waliishia wapi duh
 
Mkuu hizi nondo wakisoma watakimbia, hakuna wa kuzidaka pale!

we unasema kwa kusema kutumia media amewadhalishabna je wao kulalamika kutumia media wamefanya nini?
majina yaliyopelekwa ikulu ambayo yanawakilisha makundi ya dini ni mengi,lakini mtu ataanzaje kusema au kuuliza mbona majina hamjaleta je pengine hawataki au pengine walitumia muunganiko wa makundi mengine ha dini,we unasema hadi dakika ya mwisho ikulu ilikuwa inawasiliana na PCT ulijuaje,hata kama uliambiwa walikuwa wanawasiliana ili iweje?wapate umbeleo?
 
Jambo hili linaonekana kuwa ni dogo sana lakin linaweza kuwa na maana kubwa pale madhara yatapoanza kuonekana, kauli ya kwamba kwa sabab tu kna muumin wa EAGT bas inatosha hata kama hakuchaguliwa na taasisi hiyo hayo ni makosa madogo yenye madhara makubwa.

IKULU MWOGOPENI MUNGU kwan watawala waliowahi kuitawala dunia kwa kiburi na kejeli ka zenu mwisho wao ulokuwa ni mbaya.

Mungu wangu awape macho ya kuona mbali vinginevyo..............cjui
 
Back
Top Bottom