Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

stormryder

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
3,776
Reaction score
5,786
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
 
Mafuriko ya mwaka jana na mwaka huu miwa ya wakulima yote imeharibika kwa asilmia 80, kwa hiyo nchi itavuna sukari ya maana mwakani. Iliyopo ni kidogo, kwa hiyo upungufu wa sukari utaendelea kwa muda mrefu mpaka wakulima wavune tena miwa.

Kagera ilifikia muda magari ya kusomba miwa yanashindwa kuingia shambani kutokana na mafuriko, miwa yote ikaharibika. Sasa hilo gepu la miwa iliyoharibika linajazwaje kwa karibu mwaka mzima? Morogoro hivyo hivyo, mafuriko yalitamalaki
 
Ili kuwapa dili watu wake, halafu katika hizo 40 viwanda vzya sukari vikapewa vibali vya kuagiza tani 10 kwa kila kiwanda, jumla yao ikawa tani 50, huku wafanyabiashara wasiojua chochote kuhusu biashara ya sukari wakipewa vibali vya kuagiza na kuuza mzigo wa tani 360 wengine wakijihusisha na biashara ya stationery.
 
Ili kuwapa dili watu wake, halafu katika hizo 40 viwanda vzya sukari vikapewa vibali vya kuagiza tani 10 kwa kila kiwanda, jumla yao ikawa tani 50, huku wafanyabiashara wasiojua chochote kuhusu biashara ya sukari wakipewa vibali vya kuagiza na kuuza mzigo wa tani 360 wengine wakijihusisha na biashara ya stationery.
Hata Lowassa huko Kaburini kashtuka...

Ukute hata Richmond lilikuwa wazo la Bashe
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanait****mba
Huyu ndiyo anajua kula kwa urefu wa kamba yake . Haya Watanganyika wote Makofi kwa Bashe Msomali tafadhali
 
Ili kuwapa dili watu wake, halafu katika hizo 40 viwanda vzya sukari vikapewa vibali vya kuagiza tani 10 kwa kila kiwanda, jumla yao ikawa tani 50, huku wafanyabiashara wasiojua chochote kuhusu biashara ya sukari wakipewa vibali vya kuagiza na kuuza mzigo wa tani 360 wengine wakijihusisha na biashara ya stationery.
Mim nikusahihishe,nilisikia wenye viwanda walikua wanadengua dengua,ndio mana labda dili ilivofika kwa watu wa steshenar wakachangamka,shida ipo wap ikiwa wote wana tin numbar
 
Back
Top Bottom