Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Mim nikusahihishe,nilisikia wenye viwanda walikua wanadengua dengua,ndio mana labda dili ilivofika kwa watu wa steshenar wakachangamka,shida ipo wap ikiwa wote wana tin numbar
Kwangu naona Bashe anatafuta hela za kundi lake huko CCM kutoka tani 30K Hadi 400K ndani ya miezi is too much.

Mpina kuwa na details nyingi vile inaonesha hili jambo sio dogo..

Billion 500 unajenga Daraja la JPM au Daraja la Salendar au Daraja la Jangwani.
Hio ni gharama ya Uwanja wa ndege au Uwanja wa mpira wa Arusha, that is a lot sum of money, inahitaji kuwa na guts kuiba kwa scale hiyo
 
1000017705.jpg


Kwa wasiojua how 500 billions is.

Bashe ameeiba zaidi ya 50+ ya bajeti ya Tarura... Hizo hela Bashe anaenda kukwapua, zinaweza kuondoa kabisa Foleni na kukarabati Barabara zoote za Dar es salaam.

Spika Tulia kwa jinsi alivyo akipewa million 300 pekee anafunga mdogo, but this is big scandal
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanait****mba
Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?

Duh hii nchi ngumu sana
 
Najiandaa kwenda kurusha mawe ikulu kushinikiza bashe ahukumiwe.
 
View attachment 3021238

Kwa wasiojua how 500 billions is.

Bashe ameeiba zaidi ya 50+ ya bajeti ya Tarura... Hizo hela Bashe anaenda kukwapua, zinaweza kuondoa kabisa Foleni na kukarabati Barabara zoote za Dar es salaam.

Spika Tulia kwa jinsi alivyo akipewa million 300 pekee anafunga mdogo, but this is big scandal
Ameibaje? embu tupe mchanganuo
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanait****mba
Kwani kuna shida gani kuagiza kiasi kikubwa zaidi ya upungufu? Huoni soko litakuwa la ushindani sukari ikiwa nyingi?
 
Mafuriko ya mwaka jana na mwaka huu miwa ya wakulima yote imeharibika kwa asilmia 80, kwa hiyo nchi itavuna sukari ya maana mwakani. Iliyopo ni kidogo, kwa hiyo upungufu wa sukari utaendelea kwa muda mrefu mpaka wakulima wavune tena miwa.

Kagera ilifikia muda magari ya kusomba miwa yanashindwa kuingia shambani kutokana na mafuriko, miwa yote ikaharibika. Sasa hilo gepu la miwa iliyoharibika linajazwaje kwa karibu mwaka mzima? Morogoro hivyo hivyo, mafuriko yalitamalaki
Hizi hadithi alikusimulia nani? Mwaka huu kuna miwa mingi zaidi ya mahitaji na hivyo sukari ya kutosha itazalishwa na viwanda vyetu
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanait****mba
🥲
 
Kama ni sukari kweli haina shida

Maana Shujaa Maguful alituambia haya masukari imported mengi ni Sumu na aliongea kama Mkemia 🐼
EEEeeenHHHEeeee!
Hapa unaandika kama utani, lakini inawezekana unaamini hivyo kweli!
Hakuna kitu kama hicho.
 
EEEeeenHHHEeeee!
Hapa unaandika kama utani, lakini inawezekana unaamini hivyo kweli!
Hakuna kitu kama hicho.
Bwashee vibali vya Sukari vilianza kutolewa wakati wa awamu ya Mzee Rukhsa na procedure ni Hiyo hiyo ya single transaction

Na inakuwaga na faida kubwa hivyo hivyo

Nadhani Tatizo la Bashe ni hao Jamaa zake aliowapa tenda
 
Bwashee vibali vya Sukari vilianza kutolewa wakati wa awamu ya Mzee Rukhsa na procedure ni Hiyo hiyo ya single transaction

Na inakuwaga na faida kubwa hivyo hivyo

Nadhani Tatizo la Bashe ni hao Jamaa zake aliowapa tenda
Sikulenga haya uliyojibu hapa. Lakini nitatumia fursa hiyo kukuuliza swali kwa vile unajuwa jibu. Mzee Ruksa alitunga sheria ambayo hadi leo inatumika, au ni mazoea tu?
Nilicho jibu hapo juu kuhusu "Hakuna kitu kama hicho", ni hayo ya Shujaa wako uliyemtaja.
Swali la pili linaibukia hapo: Shujaa naye alitumia sheria ile ile ya Ruksa? Najuwa jibu ni Hapana.

Hebu Kwanza: Imenibidi nirudi haraka. Umeandika 'Single Source', aliyotumia Bashe? Una maana gani?
Umeandika '"Single Source'"
 
Sikulenga haya uliyojibu hapa. Lakini nitatumia fursa hiyo kukuuliza swali kwa vile unajuwa jibu. Mzee Ruksa alitunga sheria ambayo hadi leo inatumika, au ni mazoea tu?
Nilicho jibu hapo juu kuhusu "Hakuna kitu kama hicho", ni hayo ya Shujaa wako uliyemtaja.
Swali la pili linaibukia hapo: Shujaa naye alitumia sheria ile ile ya Ruksa? Najuwa jibu ni Hapana.

Hebu Kwanza: Imenibidi nirudi haraka. Umeandika 'Single Source', aliyotumia Bashe? Una maana gani?
Umeandika '"Single Source'"
Wakati wa dharura hutafutwa mtu yoyote mwenye Uwezo wa kumaliza tatizo Kwa haraka na anapewa Kazi haijalishi yuko kwenye Hiyo industry ama la

Hata utaratibu wake wa kulipa Income tax ni tofauti kwani atalipia faida ya hiyo consignment tu kisha anaendelea na maisha yake

Tatizo litakalombana Bashe ni Moja tu, kiasi kilichohitajika Kwa dharura na kiasi alichoagiza ni tofauti

Lakini anaweza kupangua Kwa kusema Waliotengeneza uhaba ni wazalishaji wa Ndani na walisababisha Bei kupanda sasa ili kukabili Bei kubwa ya sukari ni lazima supply more Ili bei ishuke

Swala la Sukari ni la Demand and supply na Siyo Siasa

Ulale Unono 😃😃
 
Wakati wa dharura hutafutwa mtu yoyote mwenye Uwezo wa kumaliza tatizo Kwa haraka na anapewa Kazi haijalishi yuko kwenye Hiyo industry ama la

Hata utaratibu wake wa kulipa Income tax ni tofauti kwani atalipia faida ya hiyo consignment tu kisha anaendelea na maisha yake

Tatizo litakalombana Bashe ni Moja tu, kiasi kilichohitajika Kwa dharura na kiasi alichoagiza ni tofauti

Lakini anaweza kupangua Kwa kusema Waliotengeneza uhaba ni wazalishaji wa Ndani na walisababisha Bei kupanda sasa ili kukabili Bei kubwa ya sukari ni lazima supply more Ili bei ishuke

Swala la Sukari ni la Demand and supply na Siyo Siasa

Ulale Unono 😃😃
Lakini si sheria, maana hujaeleza hivyo.
Na hata kama ingekuwa ni sheria, sasa sheria hiyo inatumika vibaya; hata kama dharura yenyewe haipo, au kiasi kinacho agizwa kinakuwa hakiendani na ukubwa wa dharura.

Huu ni mwanya tu, unaotumika sasa kufanya upigaji, na katika hili, ni wazi huu siyo upigaji wa Bashe; yeye ametumika tu kwa vile wizara yake ndiyo yenye mamlaka.

Dalili zote tayari zinaonyesha serikali nzima hata Bunge linahusishwa, ndiyo maana huyo Binti Fito anavyomsurubu Luhaga Mpina.

Acha vichekesho 'john', uliona wapi bei ya sukari ikishuka; au hiyo wanayosema ilifika Tsh 10,000/ kwa kilo?
Hizo ni komedi tu zinaeleweka.

Haya weka uwiano hapa: Tani 400,000, kushusha bei ya sukari?
 
Back
Top Bottom