Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Tani 30,000 zisingeweza kusovu.Pia sio Serikali inaagiza Bali ni wafanyabiashara
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Tena angeagiza mara tatu yake zaidi watu tununue kilo Moja Kwa buku. Haiwezekani watu tunapata shida hapa sukari bei juu wakati huko nje ipo tena ya bei nafuu kuliko hata ya ndani.

Hebu fikiria hivi viwanda vya ndani vinavyodeka;soko lipo, mashamba yapo tena na wananchi wanalima miwa Ili kuviuzia viwanda halafu sukari haipatikani kwa bei rafiki
 
Tena angeagiza mara tatu yake zaidi watu tununue kilo Moja Kwa buku. Haiwezekani watu tunapata shida hapa sukari bei juu wakati huko nje ipo tena ya bei nafuu kuliko hata ya ndani.

Hebu fikiria hivi viwanda vya ndani vinavyodeka;soko lipo, mashamba yapo tena na wananchi wanalima miwa Ili kuviuzia viwanda halafu sukari haipatikani kwa bei rafiki
You overlooked this...
 
View attachment 3021238

Kwa wasiojua how 500 billions is.

Bashe ameeiba zaidi ya 50+ ya bajeti ya Tarura... Hizo hela Bashe anaenda kukwapua, zinaweza kuondoa kabisa Foleni na kukarabati Barabara zoote za Dar es salaam.

Spika Tulia kwa jinsi alivyo akipewa million 300 pekee anafunga mdogo, but this is big scandal
UZURI NI KWAMBA KABURI HALICHAGUI MASKINI NA TAJIRI .CHA MUHIMU HELA ZISIIBIWE KWENDA KUFADHILI MAGAIDI
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Kwahiyo ulitaka ziagizwe chache ili muuze 5k kwa kilo?
 
We jamaa kwa maandiko yako tunafahamu una uelewa mpana wa mambo, hebu acha kujitoa akili.

Watu hawalaumu sukari kuwepo, wanauliza kiasi kikubwa kilichozidi tofauti na kilichoidhinishwa na Bunge.

Hao waliopewa tenda wamepewa kwa kufuata sheria ipi?

Anaetakiwa kuagiza sukari kwa mujibu wa sheria ni nani na kwa kufuata taratibu zipi.

Haya yote unayajua isipokuwa umeamua tu kujifyatua mkuu.
Kwani toka sukari ya bashe iingie mbona bei ndio imeshuka, sijaelewa bado malalamiko yenu ni yapi hasa?

Maana sukari ikiwa chache bei hupanda, sasa ikizidi tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom