Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Mimi hii hoja ya sukari ni pasua kichwa hawa wazarishaji wetu wa sukari ni zimamoto
Inakuwaje mafuriko ya miezi mitatu Tu utokee uhaba ina maana viwanda vinazarisha chini Sana ya kiwango
Pia kuna shida pahara kama vibali vimetolewa idadi kubwa kuliko mahitaji bei ya sukari ingepungua Sana
Kinachoendelea bei bado IPO juu haishuki kufikia iliyo kua mpaka sasa kanda ya ziwa ni 3600+
Kwa mtazamo wangu naona sukari na vibali vyake kuna ugomvi wa mgao
Wengine wamepata zaidi kuliko wengine hata wazarishaji sukari nao wanalalamika wamepunjwa mgao wa kuagiza
Cha msingi uzalishaji wa sukari uongezeke Sana kuzuia upungufu huu
Kwa kumbukumbu yangu hakuna utawala ambao haujakumbana na pasua kichwa hii
Kuna la kujifunza na kuchukua hatua
 
Mwaka huu sukari itakuwa nyingi mpaka nyingine tutasongea ugali, Bashe umelikoroga rudi Nzega ukampe tafu mwenzio Hamisi Kigwa
Na Mafuta nayo tunataka yawe mengi sana hadi tununuwe lita moja kwa sh 1000,na hayo ndiyo maendeleo, mambo ya ku fix production ili kupandisha bei ni ufisadi huo!!
 
Alichofanya Bashe ni Ujanja mdogo Sana, yeye alijua wazalishaji wameficha sukari Ili kutengeneza scarcity hivyo akawaruhusu waagize nje huku akijua kabisa hawataagiza kwa sababu sukari wanayo
Mkuu 'john', najua kila aina ya vinadharia vitatumika hapa ili tu kuhalalisha uhujumu, pengine toka pande zote mbili, serikali na hao wazalishaji wa sukari, wanaowafanyia waTanzania.

Bashe ajue kwamba "wazalishaji wameficha sukari", badala ya kutumia sheria zilizopo kuwalazimisha waitoe hiyo sukari, na badala yake aende kutumia njia zake nje ya taratibu kwa kuokoteza vikampuni mitaani? Hii ni serikali, au majambazi!
 
Mkuu 'john', najua kila aina ya vinadharia vitatumika hapa ili tu kuhalalisha uhujumu, pengine toka pande zote mbili, serikali na hao wazalishaji wa sukari, wanaowafanyia waTanzania.

Bashe ajue kwamba "wazalishaji wameficha sukari", badala ya kutumia sheria zilizopo kuwalazimisha waitoe hiyo sukari, na badala yake aende kutumia njia zake nje ya taratibu kwa kuokoteza vikampuni mitaani? Hii ni serikali, au majambazi!
Watu wanafungulia Mtera wauze majenereta wewe unazungumzia kuficha Sukari Bwashee? 😃😃

Mule bungeni wamejaa Wafanyabiashara Watupu including huyo Mkurugenzi wa zamani wa Magazeti ya Mtanzania
 
Watu wanafungulia Mtera wauze majenereta wewe unazungumzia kuficha Sukari Bwashee? 😃😃

Mule bungeni wamejaa Wafanyabiashara Watupu including huyo Mkurugenzi wa zamani wa Magazeti ya Mtanzania
Tusizungushane na kupoteza lengo kwa kuzua maswala mengine. Tunajuwa uozo upo kila mahali. Pakuanzia ni hapa penye sukari, hili ndilo swala lililo mbele yetu sasa hivi.

Tukilielewa hili vizuri, hata hayo mengine wananchi watakuwa wameyaelewa vizuri. Huko kuelewa kunaweza kuleta utatuzi wa hayo maswala mengi.
 
Kwa hiyo kwako bora sukari iingizwe nchini bila kujali kama sheria zilifuatwa ama vipi!.

Wewe nimeshakuona muda unasumbuliwa na vimelea vya udini na ufisadi, toka lile sakata la bandari kwa DPW sikuamini tena, ni mpinzani maslahi.
Una maoni gani baada ya Mpina kuumbuka? Punguzeni ujuaji. Yet again I've proved you wrong.
 
Ina maana wewe huna akili ya kuelewa jinsi Bashe alivyoiba mabilioni ya pesakupitia uagizaji wa sukari? Upo wapi?

Unaambiwa kuwa waagizaji waliongeza sh 100 kwa kila kilo. Sasa chukua hiyo shilingi 100 tu, zidisha kwa maelefu ya tani zilizoagizwa. Na hiyo pesa yote ndiyo iliyopelekwa kwa Bashe.
Waliongezaje wakati bei imeshuka? Yaani supply ikishaongezeka bei hauwezi ipandisha. Yaani uhonge kwenye competitive markets? Uta break even lini? Hizi ni empty allegations
 
Utaratibu wa kuagiza sukari vibali ufutwe, ndio mwanzo wa matatizo yote na rushwa, tumejiingiza kwenye capitalism free market Economy lakini tunafanya mambo kijima, kama ni soko huru weka quater na yeyote anayeweza kuagiza aagize, quater ikifika funga gate hakuna sukari inaingia
 
Vipi una maoni gani mkuu
EEEEEeeenHEEEEeeee!
Nimesikia Luhaga Mpina katiwa hatiani. Hiyo ndiyo habari mkuu 'zitto jr', unataka niseme nini tena!

Sote tumeyasikia yaliyo semwa na pande zote mbili. Aliyetaka kuelewa, atakuwa ameelewa atakavyo yeye bila kujali hukumu huko Bungeni imehukumu vipi.
 
Una maoni gani baada ya Mpina kuumbuka? Punguzeni ujuaji. Yet again I've proved you wrong.
Mbona unalazimisha kuni prove wrong wewe mjinga?!

Wewe tangu enzi zile za DPW nilishakuondoa kwenye faili langu la wazalendo wa hili taifa, kwasababu ulichagua kunyamaza kimya rasilimali
za Tanganyika zikiporwa na nduguzo mafisadi, hufai wewe ni snitch, wala usijihangaishe kuni quote nilishakupuuza muda sana.

Nilikuuliza maoni yako wakati ule kuhusu ule mkataba ukaniambia huwezi jibu jambo lisilo na ushahidi, nikakwambia IGA hiyo hapo, ukapotea kimya kimya, hapo nikajua kumbe wewe ni mpuuzi tu, sijakusahau mpinzani uchwara maslahi.

Unani prove wrong kwa kutumia majibu yasiyojitosheleza ya kamati iliyoundwa na wale wasiompenda Mpina? kawadanganyeni wajinga wenzenu.

- Unatumia majibu ya lile bunge la kina Musukuma kulazimisha kuni prove wrong?! wale waliotuuza kwa DPW! aisee uko empty sana.

Hebu tumia akili acha mihemko yako ya kitoto hapa, huna unachojua usilazimishe ujuaji usiokuwa nao.

- Nimeshakusoma kitambo una vitabia vyote vya yule Zitto mwingine, udini, unafiki, ....
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Sasa hapo huoni kuwa Kuna Faida kwetu sisi walaji ? Hizi huwa hamuoni aibu sukari inazalishwa tuliani lakini tuliani Bei sawa songea
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Hakuna ufisadi hapo
 
Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?

Duh hii nchi ngumu sana
Tatizo watz wengi ni fuata upepo
 
Aliyeibua uovu wa Msomali anaonekana mhalifu.
Mzalendo anaonekana mhalifu mbele ya mgeni tapeli,
Hii sukari ita expire kwenye maghala lkn haitamwagwa, itaendelea kuuzwa wakubwa wapige hela wakati huo huo miwa ya wazalendo itakosa soko na viwanda vya sukari bitafungwa, kwani Ni ukweli usiopingika kwamba sukari ya ndani haiwezi ku compete na sukari iliyo expire ya nje ambayo haijalipiwa Kodi.
Let us wait and see.
Sasa sukari ikiwa nyingi Si ndo vizuri?
Bwashee Kuna wakati dish linayimba
Tatizo siyo mvua au uhaba wa sukari tatizo ni utaratibu uliotmika

Hata ikiwa ni single source iliyoanzishwa na ruksau nani sijui, je utaratibu wa kumpata huyo single source ulifuatwa?

Lissu anasema waagizaji walitoa rushwa ya sh 300 kwa kilo j

Sisi tunaulizia na tunakomaa na hilo inakuwaje waziri anawaumiza watanzania na wapigakura wake kwa kukiuka taratibu
Tatizo Tanzania ni nchi ya majungu na uongo Mfano tu huyo lisu huyo Si ndo alisema chadema Kuna fedha za rushwa?
 
MO ndio kinara, si ndio mwenye kampuni ya ITEL /ya kuuza simu iliyo megewa pande. Sasa najiuliza kiwanda Cha bagamoyo ndio kwanza kimeanza, Leo wadau matajiri number moja wanataka kife kwa tamaa na ubinafsi.
Kwanza 49% ya kampuni ya ITEL zinamilikiwa na magabachori wa India. Bashe Ni mhujumu uchumi . Hakuna jina jingine zaidi ya uhujumu uchumi.
Ingekua China huyu.........tusiongee mengi.
Unata sukari iwe 8000kg ili tuwalinde magabachori ya superdoll?
 
Ina maana wewe huna akili ya kuelewa jinsi Bashe alivyoiba mabilioni ya pesakupitia uagizaji wa sukari? Upo wapi?

Unaambiwa kuwa waagizaji waliongeza sh 100 kwa kila kilo. Sasa chukua hiyo shilingi 100 tu, zidisha kwa maelefu ya tani zilizoagizwa. Na hiyo pesa yote ndiyo iliyopelekwa kwa Bashe.
Thibitisha
 
Narudia tena Tanzania haina uhaba wa Sukari ni sarakasi za Wafanyabiashara na Watendaji wakuu wa Serikali mtakuja kuelewa huko mbele sana...
 
Back
Top Bottom