Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Kwa hiyo kwako bora sukari iingizwe nchini bila kujali kama sheria zilifuatwa ama vipi!.

Wewe nimeshakuona muda unasumbuliwa na vimelea vya udini na ufisadi, toka lile sakata la bandari kwa DPW sikuamini tena, ni mpinzani maslahi.
Sukari iwepo tu kwa namna yeyote. Masuala ya nani kavunja sheria yatashughulikiwa na vyombo tulivyoviweka kikatiba. Lakini siyo kila mwehu kama denoo JG anataka kujifanya ni mjuzi wa sheria
 
Kaagiza kiasi kikubwa kuliko mahitaji ya nchi

Ukiacha ufisadi na utata kwenye vibali, he completed disrupted the sugar market.

He didn't not solve the core problem instead he flooded the market na hiyo Sukari, so hao wanunuzi wapya wa Sukari wanaweza kwa kiwango kikubwa sana as long as wanazo hizo Sukari kwenye maghala yao
Kwani supply na demand zinafanyaje kazi kiuchumi? The lesser the commodities the higher becomes the price. And the higher the supply of commodities the lesser becomes the price.

Je walaji ambao ni wananchi wanataka nini? Wanataka the higher supply of the commodities
 
Kaagiza kiasi kikubwa kuliko mahitaji ya nchi

Ukiacha ufisadi na utata kwenye vibali, he completed disrupted the sugar market.

He didn't not solve the core problem instead he flooded the market na hiyo Sukari, so hao wanunuzi wapya wa Sukari wanaweza kwa kiwango kikubwa sana as long as wanazo hizo Sukari kwenye maghala yao

"...he flooded the market.." tatizo lipo wapi hapa?

Siyo kwamba ametatua changamoto ya bei iliyokuwa juu?
 
Bei imeshuka?
Isiposhuka basi tujue Walanguzi wameificha hiyo Tani 370,000.

Hii Strategy ya Bashe ya kumwaga Sukari Sokoni ni nzuri kwetu walaji lakini hizi Ajira za kwenye Viwanda vyetu vya Sukari zitaanza kupunguzwa sana.
 
Hata Lowassa huko Kaburini kashtuka...

Ukute hata Richmond lilikuwa wazo la Bashe
Haha haaa, nimepasuka mbavu kwa kicheko. Basi tuseme si Richmond tu, bali matatizo yoote ya Tanzania chanzo ni Bashe- Elimu, umeme, DP W, kutomalizika mradi wa bwawa la mwl Nyerere, Treni ya umeme, mwendo kasi n.k
Hapo nafikiri CHADEMA watafurahi sanaaaaa!
 
Siajelewa hapo.

Iwapo sukari ilihitajika tani 30k, na ameagiza 400k, tatizo lipo wapi?

Mwaka huu sukari itakuwa nyingi mpaka nyingine tutasongea ugali, Bashe umelikoroga rudi Nzega ukampe tafu mwenzio Hamisi Kigwa
 
Unakikua kilimo au unahadithiwa. Miwa haiharibiwi na mvua nyingi. Mvua inaweza kuathiri tu usafirishaji, na siyo production. Mvua zilizonyesha mwaka huu zilikuwa nyingi kwa muda mfupi tu, hivyo athari yake katika usombaji wa miwa kupeleka viwandani, haupo. Maeneo yote, ya uzalishaji miwa, usafirishaji umekuwa wa kawaida kuanzia mwezi wa 5. Hivyo huo wizi wa Bashe hauna uhusiano wowote na uwepo wa mvua nyingi. Hiyu ni mwizi tu. Maana hata huko kwenye miradi ya kilimo ni wizi mtupu. Hata waliopewa tenda kwenye hizo kazi hewa, wanatamba kuwa Bashe hawezi kuwanyima tenda kwa vile kila wakilipwa, wanamkumbuka. Wanayasema hayo kwa uwazi.

Huyu msomali kiuhalisia anaonekana ana asili ya wizi na tamaa. Usalama wake katika wizi anaoufanya, kuna uwezekano mkubwa anaihusisha ofisi ya iteuzi. Maana hata hayo ya kununua pikipiki nyingi ndiyo mbinu ambayo amekuwa akifanya tangu uchaguzi wa 2010.

Mwaka 2010 alikuwa ndiye mpanga mikakati ya Lowasa na Rostam. Kwa kutumia pesa ya Lowasa na Rostam alinunua pikipiki na baiskeli nyingi kwaajili ya kuwahonga viongozi wa chama. Mabolozi wa nyumba kumi jimbo la Nzega, kila mmoja alipewa baiskeli. Na baadhi ambao yeye aliwaona ni muhimu zaidi, waligawiwa pikipiki.
Ndugu yangu ujui kama muwa ukinyonya maji mengi sukari inapotea ndo mana mwezi mmoja kabla ya uvunaji atumwagilii ili kupandisha sukari kwenye miwa….mvua inathiri miwa kwa kiasi kikubwa sana
 
Isiposhuka basi tujue Walanguzi wameificha hiyo Tani 370,000.

Hii Strategy ya Bashe ya kumwaga Sukari Sokoni ni nzuri kwetu walaji lakini hizi Ajira za kwenye Viwanda vyetu vya Sukari zitaanza kupunguzwa sana.
Oversupply ni mbaya kwa soko na mraji

Always soko linategemea supply and demand.

Bashe amejaribu kushindana na Wenye viwanda.

Alitakiwa afikirie in long term
 
Itashukaje mkuu na watu wana buku buku zao kwenye kila kilo?. Sema itapanda....huu ni uchumi wa bongo haufuati kanuni za uchumi za kisomi😂😂

Kigwangala njoo msaidie neighbor wako acha kuchekea tumboni
 
Kwa hiyo kwako bora sukari iingizwe nchini bila kujali kama sheria zilifuatwa ama vipi!.

Wewe nimeshakuona muda unasumbuliwa na vimelea vya udini na ufisadi, toka lile sakata la bandari kwa DPW sikuamini tena, ni mpinzani maslahi.
Sheria ipi imevunjwa nitajie hapa?
Mimi tofauti na nyie ni kwamba napenda facts sio hisia au mihemko. Taja tu sheria iliyovunjwa ndio tujadili mengine maana ni ajabu sukari imeadimika leo wanaleta excess bei imeshuka bado mnalalamika kwahiyo mlitakq kuwe na shortages sukari kisa sheria? Hii nchi ujinga mwingi sana.

Mlilalamika hapa Dp world sijui bandari imeuzwa cha ajabu juzi tumesikia TICTS na ADANI wamepewa tenda bandarini sasa kama imeuzwa kwa Dp world hao ADANI wamepewa gati ipi?

Leteni facts sio hisia na mihemko
 
Oversupply ni mbaya kwa soko na mraji

Always soko linategemea supply and demand.

Bashe amejaribu kushindana na Wenye viwanda.

Alitakiwa afikirie in long term
Mimi mlaji ninachotaka ni Sukari iwepo Dukani na bei iwe ya nafuu hayo mengine watajijua wao.
 
Back
Top Bottom