johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alichofanya Bashe ni Ujanja mdogo Sana, yeye alijua wazalishaji wameficha sukari Ili kutengeneza scarcity hivyo akawaruhusu waagize nje huku akijua kabisa hawataagiza kwa sababu sukari wanayoLakini si sheria, maana hujaeleza hivyo.
Na hata kama ingekuwa ni sheria, sasa sheria hiyo inatumika vibaya; hata kama dharura yenyewe haipo, au kiasi kinacho agizwa kinakuwa hakiendani na ukubwa wa dharura.
Huu ni mwanya tu, unaotumika sasa kufanya upigaji, na katika hili, ni wazi huu siyo upigaji wa Bashe; yeye ametumika tu kwa vile wizara yake ndiyo yenye mamlaka.
Dalili zote tayari zinaonyesha serikali nzima hata Bunge linahusishwa, ndiyo maana huyo Binti Fito anavyomsurubu Luhaga Mpina.
Acha vichekesho 'john', uliona wapi bei ya sukari ikishuka; au hiyo wanayosema ilifika Tsh 10,000/ kwa kilo?
Hizo ni komedi tu zinaeleweka.
Haya weka uwiano hapa: Tani 400,000, kushusha bei ya sukari?
Bashe akaongea Bungeni Kwamba Wazalishaji wakiendelea kudelay atatoa Vibali kwa Watu wengine Ili waagize sukari
Wazalishaji wanashindwa na Bashe akatumia Mwanya huo huo kufanya aliyoyafanya
Kimjinimjini tunasema Bashe alitumia Fursa ipasavyo
Unadhani kwanini Dr Mwakyembe hakwenda kumhoji Lowassa kashfa ya Richmond?!
Mabepari Wana akili Sana tofauti na wakulima wa vitunguu akina Lucas 😂😂😂