Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Aliyeibua uovu wa Msomali anaonekana mhalifu.
Mzalendo anaonekana mhalifu mbele ya mgeni tapeli,
Hii sukari ita expire kwenye maghala lkn haitamwagwa, itaendelea kuuzwa wakubwa wapige hela wakati huo huo miwa ya wazalendo itakosa soko na viwanda vya sukari bitafungwa, kwani Ni ukweli usiopingika kwamba sukari ya ndani haiwezi ku compete na sukari iliyo expire ya nje ambayo haijalipiwa Kodi.
Let us wait and see.
Mzalendo anaonekana mhalifu mbele ya mgeni tapeli,
Hii sukari ita expire kwenye maghala lkn haitamwagwa, itaendelea kuuzwa wakubwa wapige hela wakati huo huo miwa ya wazalendo itakosa soko na viwanda vya sukari bitafungwa, kwani Ni ukweli usiopingika kwamba sukari ya ndani haiwezi ku compete na sukari iliyo expire ya nje ambayo haijalipiwa Kodi.
Let us wait and see.