Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

Mim nikusahihishe,nilisikia wenye viwanda walikua wanadengua dengua,ndio mana labda dili ilivofika kwa watu wa steshenar wakachangamka,shida ipo wap ikiwa wote wana tin numbar
- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?

- Inawezekana vipi mtu wa stationery mwenye mtaji wa milioni moja akapewa kazi ya kuagiza sukari ya bilioni 6.6?
 
- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?

- Inawezekana vipi mtu wa stationery mwenye mtaji wa milioni moja akapewa kazi ya kuagiza sukari ya bilioni 6.6?
Mzigo ukifika bandarini au airport kuna vyombo au taasisi zinahusika na ubora wa chakula au dawa zinazoingia nchini.. TBS , TMDA , Mkemia mkuu , na wengineo hapo kabla hujakutana na TRA unaanza na hao wanaohakikisha ubora... Tupo salama Mkuu usiwe na hofu kabisa kwenye ubora .. serikali hii ya ccm haiwezi ikaruhusu sumu ikaingia mtaaani ..
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Kanaonekana na vingereza vingi ,kumbe kajizi ka kutupa , kanatakiwa kuminywa kende mpaka kazitapike ,sio kenyewe tu hata mishirika mifisadi mingine
 
Wakati wa dharura hutafutwa mtu yoyote mwenye Uwezo wa kumaliza tatizo Kwa haraka na anapewa Kazi haijalishi yuko kwenye Hiyo industry ama la

Hata utaratibu wake wa kulipa Income tax ni tofauti kwani atalipia faida ya hiyo consignment tu kisha anaendelea na maisha yake

Tatizo litakalombana Bashe ni Moja tu, kiasi kilichohitajika Kwa dharura na kiasi alichoagiza ni tofauti

Lakini anaweza kupangua Kwa kusema Waliotengeneza uhaba ni wazalishaji wa Ndani na walisababisha Bei kupanda sasa ili kukabili Bei kubwa ya sukari ni lazima supply more Ili bei ishuke

Swala la Sukari ni la Demand and supply na Siyo Siasa

Ulale Unono 😃😃
Sasa ndo unatafuta mtu mwenye mtaji wa mil moja, ccm babu ,mama ,baba, kaka,dada mpaka vitukuu wote wezi , ccm ni ukoo wa panya
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Kwani ametumia hela yako au ya Serikali kuagiza sukari? Pili kipi bora sukari iwe nyingi mpaka iteremke bei kutoka Tsh 10,000 hadi Tsh 3,000?

Hata huyo Lowassa (RIP) kwani alikosa nini kwenye kashfa ya Richmond?
 
Ili kuwapa dili watu wake, halafu katika hizo 40 viwanda vzya sukari vikapewa vibali vya kuagiza tani 10 kwa kila kiwanda, jumla yao ikawa tani 50, huku wafanyabiashara wasiojua chochote kuhusu biashara ya sukari wakipewa vibali vya kuagiza na kuuza mzigo wa tani 360 wengine wakijihusisha na biashara ya stationery.
Bora Sukari nyingi imekuja nchini. Hizo zingine ni porojo tu
 
Mafuriko ya mwaka jana na mwaka huu miwa ya wakulima yote imeharibika kwa asilmia 80, kwa hiyo nchi itavuna sukari ya maana mwakani. Iliyopo ni kidogo, kwa hiyo upungufu wa sukari utaendelea kwa muda mrefu mpaka wakulima wavune tena miwa.

Kagera ilifikia muda magari ya kusomba miwa yanashindwa kuingia shambani kutokana na mafuriko, miwa yote ikaharibika. Sasa hilo gepu la miwa iliyoharibika linajazwaje kwa karibu mwaka mzima? Morogoro hivyo hivyo, mafuriko yalitamalaki
Kwa nini serikali inakataza wafanyabiashara wadogo walioko mipakani kuingiza sukari nchini??
 
Naona tumekomalia ya Bashe tu! Kama tungeyasema kwa uzito haya yaliyoripotiwa na CAG karibu kila sekta,mawaziri wengi wangekumbwa na kashifa kama hizi.
Nadhani kuna mahali Bashe amepishana na Mganga wake wa kienyeji! Kama anaye aende amalizane naye hayo yatapita na watanzania tutazoea!
 
Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?

Duh hii nchi ngumu sana
Hiyo ni kawaida kwa binadamu, ukikaa sana utalalamika na ukisimama kwa muda mrefu utalalamika, kila kitu kinataka kiasi.
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaich
Aongeze zaidi ili hili jinamizi la Gap Sugar lisisikike milele na milele.
 
Wanaiba mpaka wamechoka
Screenshot_20240614-113425_Instagram.jpg
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Sio huyo tu, hata na mama yenu ni jizi
 
Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?

Duh hii nchi ngumu sana

Bei itashukaje wakati sukari inayozalishwa na viwanda vyetu inalipiwa Kodi wakati sukari ya nje wameisamehe Kodi na bado wizara na bodi ndio wanaotoa bei elekezi bila kujali sukali ilitoka wapi
 
Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole

Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.

Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... 😂😂

Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!😂

Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!

Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Kumbe CCM ni ileile
 
Wewe nae kilaalichoongea magufuli ulikiamini?
Ina maana we kipindi cha nyuma ulikuwa huoni sukari ukiweka kwenye chai inakuwa kama ina vichupa vinangaa utadhani flask ya thermos..? Au sukari inakuwa kama mchanga uliolowa huku nyuki wameizunguka? Ile ni rejected kutoka nje..watu wanaagiza wanatuuzia. Sema wapumbavu siku zote huwa mnashtuka ukishaambiwa una cancer. Kisha unasema nimeipataje
 
MO ndio kinara, si ndio mwenye kampuni ya ITEL /ya kuuza simu iliyo megewa pande. Sasa najiuliza kiwanda Cha bagamoyo ndio kwanza kimeanza, Leo wadau matajiri number moja wanataka kife kwa tamaa na ubinafsi.
Kwanza 49% ya kampuni ya ITEL zinamilikiwa na magabachori wa India. Bashe Ni mhujumu uchumi . Hakuna jina jingine zaidi ya uhujumu uchumi.
Ingekua China huyu.........tusiongee mengi.
Swali la msingi ,na naomba jibu kwa Mwenyekujua, Bashe kama waziri inawezekana kukamilisha hili dili peke yake ndani ya serikali ? Kama sivyo nani wanaweza kuwa nyuma yake ? Kama ndivyo hii jeuri bashe kaitoa wapi?

Nauliza isije kuwa bashe ni kama bahasha tu kumbe kumbe wenye barua wapo
 
- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?

- Inawezekana vipi mtu wa stationery mwenye mtaji wa milioni moja akapewa kazi ya kuagiza sukari ya bilioni 6.6?
Kuna watu humo may be watakuwa wametakatisha fedha,kupitia hizo kampuni.
 
Back
Top Bottom