Nasaa ugusee utajuaaa gwedee ana magoli mangapi zaodi ya wachezaji wa simbaStar wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
View attachment 2982613
siku zote, wewe mfuatilie..lolAnapambana na vibibi nn ππππ
πππππDaahsiku zote, wewe mfuatilie..lol
Aaaaah nimeshangaa ni weww ume comment hvi au ...Shusho ni mzuri ila hapo make up zimepiga handicap.
Hiyo picha bila ya kuandika cristina shusho kisha ungeniuliza huyu ni nani, kwa kweli nisingemtambua na wala nisingetaja jina la shusho.
Mbona nyanya CHUNGU tu hiyo kama Faiza foxiStar wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
View attachment 2982613
Ahahahahah...kwel we mbishi..umesoma zoote!!πMkuu lala tu maana hzo typing error hata mwanao wa pili hakosei hvo
Wewe tena! πHajui huyu, tukiacha mambo yake na imani zake huko, angeniita now ningechukua boda chap sana ili nisichelewe miadiπ€£π€£π€£π€£
Sana kwasababu kwetu singida ili mtu aitwe bibi anatakiwa kuwa bibi "kweri kweri" nashangaa watu wa JF , mtu kama Tina anaitwa bibi, utadhani mnaishi Hollywood.πππUkiskia bibi hua unashtuka sana
Waliopo mtaani ndo hao hao wapo jf Sema kwa sababu hatujuani mtu anaandika chochote tu!Sana kwasababu kwetu singida ili mtu aitwe bibi anatakiwa kuwa bibi "kweri kweri" nashangaa watu wa JF , mtu kama Tina anaitwa bibi, utadhani mnaishi Hollywood.
Huwa najiuliza sana watu wa JF mnadate watu wa aina gani? Mnazungukwa na watu wa aina gani? Ndugu zenu wa kike wanafananaje?
Halafu wasichana tukiwa wadogo sote tunakuwaga wazuri, ukiona mtu mzima 35+years bado mzuri, jua huyo ni mzuri kweli kweli, ndio kama Tina.
Mimi nadhani kila kizuri kina kasoro yake na kila kasoro ina uzuri wake.Star wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
Naskia Bozemba mbinuko ipo kwa mujibu wa wadau huku...Nauliza tena ana BOZEMBA?
Ujinga wa mawazo ya vijana wa 2000.Star wa nyimbo za gospel Christina Shusho dada anaonekana mtamu huyu sijui yule jamaa ake alifeli wapi.
View attachment 2982613
Ni mzuri ukiwa huishi nae, akiwa sio wako.sijui yule jamaa ake alifeli wapi
Maneno magumu sana hayo Mkuu, komwe katema nyongo ππ""How come this FAT PIG is considered sexy and beautiful?""
ππππππππππππππ