The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Forester subaru new 💥💥💥 wapi rumionJe mbadala wake ni "chuma" kipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forester subaru new 💥💥💥 wapi rumionJe mbadala wake ni "chuma" kipi?
Mkuu unatia chumvi Mbona linapita vizuri tuu kwenye tuta lolote bila ya kugusaKuna namna yoyote ya kuinyanyua kidogo? Aki ukiliona limepark ni bonge moja ya gari. Tembea nalo sasa ndio utajuta. Umakini wa hali ya juu kwa njia zetu. Yaani utafikiri unakagua njia. Ole wako ujisahau kidogo ukavamia tuta mchongoko. Hao wanaosifia ukute wanaendeshea joberg na si bongo.
Swala ni kupanda bump kwa kulikata halihitaji akili kubwa hivi, unavyopanda bump ukiwa umenyooka tair za mbele zitapita huku za nyuma bado so pale kati lazima paguse chini but unavyolikata kwa upande possibility ya tairi zote kupamba ni kubwa so kunakuwa na less distruction/ nillHaya Fundi maiko
Hebu elezea kwa kutumia fizikia ili nimuone yule profesa aliyenifundisha damping coefficients alikuwa kilaza
View attachment 2784495