Nimecheka kwa sauti sana π€£ π€£ π€£Wewe ni kidume acha kutapeli vijana
Mi nashangaa kila mtu anasema yupo nje ya nchi na kila mtu ana uwezo wa kuingiza milioni moja kwa mwezi.Kuna mwamba kauliza jana hivi "wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nneπ
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeeleeπ
Proud of youSiyo kweli, mimi ni mshangazi over 30 na I'm proud of my age.
Ila JF ili inoge lazima vi-exaggeration flani viwepo tu.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!! kuuuuuuuuuuuuuuumbe!!!!!!!Wewe ni kidume acha kutapeli vijana
Sio kila mtu mkuu to be honestMbona mimi makutupora @,Intelligent businessman dosho12 ni majobless hatujawahi kubrag utajiri
Na kila mtu anakula wake za watu balaaaaaaaaa!!!Hahaha kila mtu humu ashawahi kuzamia sauz mkuuπ
πππππππππππππππKuna mwamba alisema hawezi kuteswa na mapenzi, tuko nae hapa mpaka leo bado tunampepea ili azinduke baada ya kula kitu kizito siku ya wapendanao baada ya mpenzi wake kumpost mpenzi wake π
Kuna yule jamaa aliesema allitisha malaya kutoka telegram akashangaa kumuona ndugu yake ila akachapa hivyo hivyo πππ₯Kuwa masikini jf ni kujitakia, hio ndege nanunua mwezi ujao dua zenu wakuu...
Nimepeleka fundi tayari wamefanya inspection, wamefanya test flight, nime negotiate bei, nimesha consult na legal na financial advisors... kilichobaki ni kuileta bongo tu..
Ataiuliza chat gptπππ Kama kweli wewe ni mwanamke nitajie jina la rangi hiziView attachment 3241255
Yeah mitandao ni sehemu ya kujimwambafaiSio kila mtu mkuu to be honest