Ila JF bwana!

Kuna yule alikuwa na milion 50 mara punde si punde akaja tena kuomba kazi Jf anakufa njaa
Kuna huyu jamaa aliandika uzi kutaka msaada wa kiroho ilo aondokane na majimama ghafla baada ya masaa nikamuona kwenye uzi mmoja wa mapenzi akicomment kifuska fuska, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Maghayo na huyo The Mongolian Savage ni wayahudi hao jamaa.... sema wameishi sana bongo.
Siku hizi ameanza uchizi wake wa kusifia Mayahudi maana alitulia kwa amani sasa kaanza uchawa wake ,na kwa vile akianza tu uchawa na ukichaa wa kusifia Mayahudi huwa achelewi kwenda gerezani maana anashindwa kijishilikia basi namtabiria ban siku za karibu.

The Mongolian Savage , sasa umebaki na kichaka chako kimoja ambacho hiki tu sasa jichunge uchizi wako usikufanye ukapotea jukwaani humu sawa ?
 
Ikifika naomba kuja kupiga picha basi na wanangu, tujifanye tuko kwenye private jet Marekani.
 
Hizo ni mambo za watoto sisi ambao tunakimbilia 4th floor tuna waambia ukweli vijana.

Huwezi pata nguvu za kiume kama hufanyi mazoezi.
 
Angalia hao jamaa wana Pegasus wataku hack..
Hahahahahah!! mimi nina system nzito waliwahi kujaribu team yangu ya kazi ikatembeza dozi nikawa salama , Kuna mwamba anapiga panga balaa nikiwambia tu shughulikia kima hilo Lichawa litakimbia humu mwamba mwenyewe ni kutoka Joseon Intelligent businessman
 
"Kuna mtu kaniibia M20, niliingia restaurant nkasahau juu ya meza" Alisikika mwanaJF.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚

Mara oooh, nimechaguliwa kwenda jumatatu kuwaangusha m23 alafu juma tano yake anapost picha za mademu wwnye makalio makubwa uzi wa waremboπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hehehe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…