Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Say thanks to AIBurgundy Pink
Coral Pink
Mustard Yellow
Pale Yellow / pastel yellow.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Say thanks to AIBurgundy Pink
Coral Pink
Mustard Yellow
Pale Yellow / pastel yellow.
WanakuwajeMashekhe kama wewe hawawagi hivi buana 🤣
Angalia hao jamaa wana Pegasus wataku hack..Different colors one people , Nyani mmoja vichaka tofauti .Yaani zote ni ID Moja
Ila Siku moja Robert mtibeli nae akaja kuomba ushauri wa kimahusiano wakati yeye ni miongoni wa washauri wa mahusianoNa kuna mmoja alisema sijui anatoa odds za uhakika na ukibet lazima ushinde
Lakini baada ya siku kadhaa akaja kutafuta "kazi yoyote ile!!!" yuko mbeya
Kuna huyu jamaa aliandika uzi kutaka msaada wa kiroho ilo aondokane na majimama ghafla baada ya masaa nikamuona kwenye uzi mmoja wa mapenzi akicomment kifuska fuska, 😂😂😂Kuna yule alikuwa na milion 50 mara punde si punde akaja tena kuomba kazi Jf anakufa njaa
Siku hizi ameanza uchizi wake wa kusifia Mayahudi maana alitulia kwa amani sasa kaanza uchawa wake ,na kwa vile akianza tu uchawa na ukichaa wa kusifia Mayahudi huwa achelewi kwenda gerezani maana anashindwa kijishilikia basi namtabiria ban siku za karibu.Maghayo na huyo The Mongolian Savage ni wayahudi hao jamaa.... sema wameishi sana bongo.
Au labda mimi ni sheikh nikiwa JF tu!Mashekhe kama wewe hawawagi hivi buana 🤣
Ikifika naomba kuja kupiga picha basi na wanangu, tujifanye tuko kwenye private jet Marekani.Kuwa masikini jf ni kujitakia, hio ndege nanunua mwezi ujao dua zenu wakuu...
Nimepeleka fundi tayari wamefanya inspection, wamefanya test flight, nime negotiate bei, nimesha consult na legal na financial advisors... kilichobaki ni kuileta bongo tu..
![]()
Hehehehehehehehe!!!!!!!!!!!!!!!!!Ila Siku moja Robert mtibeli nae akaja kuomba ushauri wa kimahusiano wakati yeye ni miongoni wa washauri wa mahusiano
Hizo ni mambo za watoto sisi ambao tunakimbilia 4th floor tuna waambia ukweli vijana.Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Hahahahahah!! mimi nina system nzito waliwahi kujaribu team yangu ya kazi ikatembeza dozi nikawa salama , Kuna mwamba anapiga panga balaa nikiwambia tu shughulikia kima hilo Lichawa litakimbia humu mwamba mwenyewe ni kutoka Joseon Intelligent businessmanAngalia hao jamaa wana Pegasus wataku hack..
😂😂😂😁😂😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂"Kuna mtu kaniibia M20, niliingia restaurant nkasahau juu ya meza" Alisikika mwanaJF.
Hehehehehe!!!!!Kuna huyu jamaa aliandika uzi kutaka msaada wa kiroho ilo aondokane na majimama ghafla baada ya masaa nikamuona kwenye uzi mmoja wa mapenzi akicomment kifuska fuska, 😂😂😂
Usikute hujatimiza hata miaka 18 😃😀😄Hizo ni mambo za watoto sisi ambao tunakimbilia 4th floor tuna waambia ukweli vijana.
Huwezi pata nguvu za kiume kama hufanyi mazoezi.
Hahahh, Hakuna shida kabisa! Nitawachukulia na limousine kutoka uwanja wa ndege, halafu tutapiga picha, tutapost hapa...Ikifika naomba kuja kupiga picha basi na wanangu, tujifanye tuko kwenye private jet Marekani.
Hehehe!😂😂😂😁😂😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂
Mara oooh, nimechaguliwa kwenda jumatatu kuwaangusha m23 alafu juma tano yake anapost picha za mademu wwnye makalio makubwa uzi wa warembo😂😂
Aisee, kumbe humu na hackers wa kimataifa wapo?Hahahahahah!! mimi nina system nzito waliwahi kujaribu team yangu ya kazi ikatembeza dozi nikawa salama , Kuna mwamba anapiga panga balaa nikiwambia tu shughulikia kima hilo Lichawa litakimbia humu mwamba mwenyewe ni kutoka Joseon Intelligent businessman