The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Usikute hujatimiza hata miaka 18 😃😀😄
We nifuatilie tu utajua kama nadamganya au vipi.
Nalea na kulisha watu kama wewe.
Ukute ndugu yako kijijini anasimamia mashamba yangu ohooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute hujatimiza hata miaka 18 😃😀😄
Nimependa, wewe ndio wale matajiri tunaowatafuta, hauna longo longo big boss 😂 !Hahahh, Hakuna shida kabisa! Nitawachukulia na limousine kutoka uwanja wa ndege, halafu tutapiga picha, tutapost hapa...
Kuna njemba wana chai humu, mtu anasimulia story kumbe kasoma novel.. halafu yupo serious anakuambia (mkasa wa kweli)...Yani nikiwa na njaa nikiingia humu napata "chai" za bure za kutosha tu.
Usikute sasa hivi unaandika homework au na kutengeneza fagio la kwenda nalo kesho shule 😃😀😄We nifuatilie tu utajua kama nadamganya au vipi.
Nalea na kulisha watu kama wewe.
Ukute ndugu yako kijijini anasimamia mashamba yangu ohooo.
Hehehe!!!Kuna njemba wana chai humu, mtu anasimulia story kumbe kasoma novel.. halafu yupo serious anakuambia (mkasa wa kweli)...
HahahahaKuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Vipi ishu zako za AI ni kweli au chai tu kama chai nyingineKuna njemba wana chai humu, mtu anasimulia story kumbe kasoma novel.. halafu yupo serious anakuambia (mkasa wa kweli)...
Aisee ume ongea kitajiri kabisa, nime isoma huku nasikia sautiHahahh, Hakuna shida kabisa! Nitawachukulia na limousine kutoka uwanja wa ndege, halafu tutapiga picha, tutapost hapa...
Nakazia hapo kwenye nje ya nchiMi nashangaa kila mtu anasema yupo nje ya nchi na kila mtu ana uwezo wa kuingiza milioni moja kwa mwezi.
Nani huyo mkuu 🤣🤣🤣Kuna yule alikuwa na milion 50 mara punde si punde akaja tena kuomba kazi Jf anakufa njaa
Umeiona chuma yangu limousine yangu hapo?Nimependa, wewe ndio wale matajiri tunaowatafuta, hauna longo longo big boss 😂 !