toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
πππππππMtu anasambaza dislikes tangu comment ya kwanza ulivyojiunga Jfπππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππMtu anasambaza dislikes tangu comment ya kwanza ulivyojiunga Jfπππ
Yaani vyuma vilegezwe kwakweli, mpaka tumesemaaIla wangepunguza ukali wa maisha watu wanapagawa eti aisee
Huyu masta ni kiboko kaamua abadili jina ili aende nasi sawa , alafu kila mtu anamgongea dislike aisee zππππMi dislikes kama mvuaππ
Jamaa button ipo kwenye DISLIKE, mama si angemteua jamaa awe anazunguka na paulo tujue moja aiseeβ¦.Yaani vyuma vilegezwe kwakweli, mpaka tumesemaa
Wakilila kichwa linakuja kivingine si halina cha kupoteza hii ni aina ya watu kama kina paulo huwa hayajali kabisaaaaSasa hivi watamla kichwaπ€£π€£ππ
Kama kuna teuzi apewe, jamaa anakoelekea atatupiga mitaani kwa visiraniππJamaa button ipo kwenye DISLIKE, mama si angemteua jamaa awe anazunguka na paulo tujue moja aiseeβ¦.
Eeeh nakumbuka πππZamani alikuaga Kitimoto
ππππππ, linapambana lakini kwa energy yake hii angewekeza kwenye mambo ya msingi Tajiri wa simba asingefika kwa fweza ambazo jamaa angekuwa nazoβ¦.Kama kuna teuzi apewe, jamaa anakoelekea atatupiga mitaani kwa visiraniππ
Itakua ndo huyuEeeh nakumbuka
Amekwenda na maji πTayari wamepa bann jamaniπββοΈ
Ndio huyo huyo ππππItakua ndo huyu
Kuna member mpya anaitwa Mdudu kutokea huko bunju. Je ana shida gani?
Ni vyema akaziweka wazi shida zake humu ili apate msaada. Kwani kila nikifungua nyuzi nakutana na vidude vyekundu vya kukerawww.jamiiforums.com
Yeah it is πππMods mngemuacha tu atukomeshe hivo hivo(funny)
Sasa umemwonea wivu mpaka na kwenye negativityπSidhani kama kuna haja ya kumuongelea, hii ni post ya tatu sasa naona inamuhusu yeye.
Anataka fame tu. Tunavyomuongelea ndio tunampa Sifa.
Safi sana ana tabia za kichawiπππππ wamemla kichwa ππππ