Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,828
- 2,637
Sio fault yake kivipi wakati yeye ndio muhuska?Ni kindezi yeah, ila hiyo siyo fault yake, watu hutapeliwa hivyo. Kuna mbinu hutumika kupumbaza akili za watu kabla ya kutapeliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio fault yake kivipi wakati yeye ndio muhuska?Ni kindezi yeah, ila hiyo siyo fault yake, watu hutapeliwa hivyo. Kuna mbinu hutumika kupumbaza akili za watu kabla ya kutapeliwa.
Naunga mkono hoja, kitendo cha kuwasikiliza ni hatarishi sana.Dawa rahisi kabisa ya kudhibiti utapeli wa aina hiyo, ni hii hapa;
Ukiwa mjini, ukitoka tu benki, au ukiwa katika mishe zako! Jitahidi uwe busy tu na mambo yako! Na usikubali kamwe kumsikiliza mtu anayekuita au kukusimamisha ili akuambie shida yake.
Na kwa ule utapeli wa kwenye simu, na wenyewe ni hivyo hivyo! Usikubali kumsikiliza mtu. Wewe mwambie kwa ufupi tu uko busy, na kama atakuambia eti kuna hela sijui imetumwa kimakosa kwenye simu yako; mjibu tu kirahisi apige simu huduma kwa wateja ili arejeshewe hiyo pesa yake! Maana hilo silo jukumu lako.
Sababu hata uwe timamu namna gani, muda wa huo mchakato mlengwa anakuwa kama yupo usingizini au akili zimepumbazwa.Sio fault yake kivipi wakati yeye ndio muhuska?
🙄Kumbe ni porojo tu,Kama sikosei hii ni thread yako ya pili unatapeliwa
Kwakweli nilikuwa mjinga . Lakini sio kawaida mkuu mimi huwa najudge sana sijui ilikuwaje nikakubali kupigwa kizembePole Sana
Kama hii story ni ya kweli .
Basi wajinga wanakufa na kuzaliwa na hawatoweza kuisha hapa duniani.
Unatepeliwa kijinga namna hiyo Mkuu.