Peleka uongo wako huko! mimali waliojilimbikizia na kuuza rasilimali za nchi huku watanzania wengi wakitaabika kwa kukosa huduma za msingi, unaleta uchawa wako hapa eti anatamani kila mtu apate, Ebo!ni mtu fulani hawezi kupanic
anautulivu wa akili.
ameridhika na anatamani kila mtu apate.
Basi bwana mkwere akaambiwa huyu jamaaa anakupoteza siku si nyingi mtoe angali mapema... Mkwere akakaza kinoma kwamba wametoka mbali.....
Watu wakakaaa wakaanda mpango mzima... Wakasafirisha watu wakafanya Kila kitu... Mkwere anastuka kumekucha wajanja washatengeneza Kila kitu na mkwere hawezi Tena kuchomoa.... Watu wakala kichwa mkwere anaangalia mchezo haamini...
Kiufupi hawakuwahi kuwa maadui na wote walikua outsmarted.
Sikushikii panga mkuuSidhani kama uliyoeleza yana ukweli wowote.
Akawaletea na chura kiziwiNamshukuru kwa kutuletea Jiwe
HUu mwandiko kama wa Tate Mkuuni mtu fulani hawezi kupanic
anautulivu wa akili.
ameridhika na anatamani kila mtu apate.
Sitta alikuwa na shida gani??Mkwere aliandaliwa kua kiongozi na alizungukwa na born town wengi ndo maana aliwazidi ujanja washkaji zake na aliwamaliza kisiasa.....alimmaliza Edo Kwa kete ya Richmond alimmaliza Samwel Sitta kwa kete ya 'gender balance'
sa japo naichukia Arusha Alikuwa low key na ana hekima yule jamaabas nikajua mkwere wa mizengwe
kumbe mkwere wa mizengwe ya siasa
marehemu eddo alikuwa smart sema mwoga, angeamua kukinukisha ilikuwa balaaa
Sasa ndiyo Mnajua Baba Riz ni smart poleni sana. Baba Riz hakika alikuwa ni presidential material toka enzi za Benja anapigiwa pande na mzee wa Mwitongo. Baba Riz ni muungwana ajabu. Heshima Mlima!Habarini JFcians!
Kutokana na mitazamo ya wengi kuhusu watu wa pwani, watu wa pwani wanachukuliwa kama ni weak kiakili na hata kiuchumi.
Jambo linalonishangaza mpaka leo hii ni hili la Mkwere na Edo!
Hivi inakuwaje mtu wa kaskazini anakuwa outsmarted na mtu wa pwani?
Ni wazi Mkwere alikuwa ahead of the game, ukizingatia walikuwa marafiki before.
North got defeated by coast!
This man is very intelligent!
NB
Ni mtazamo wangu!
Vipi Mama SSH humtaki tena? Leo hii Baba Riz kawa sukari?.. pema usipo pema si pema tena!Mimi natamani agombee tena Urais hata kupitia Upinzani tutamchagua tu