Ila Mkwere ni smart mno kichwani!

Ila Mkwere ni smart mno kichwani!

Habarini JFcians!

Kutokana na mitazamo ya wengi kuhusu watu wa pwani, watu wa pwani wanachukuliwa kama ni weak kiakili na hata kiuchumi.

Jambo linalonishangaza mpaka leo hii ni hili la Mkwere na Edo!
Hivi inakuwaje mtu wa kaskazini anakuwa outsmarted na mtu wa pwani?

Ni wazi Mkwere alikuwa ahead of the game, ukizingatia walikuwa marafiki before.

North got defeated by coast!

This man is very intelligent!

NB
Ni mtazamo wangu!
Kama ni akili Mkwere hana, alikuwa kichwa cha nazi tu. Sema kutawala Watanzania hakuhitaji uwe na akili kihivyo. Mkwere alitembea kwenye bahati tu
 
Habarini JFcians!

Kutokana na mitazamo ya wengi kuhusu watu wa pwani, watu wa pwani wanachukuliwa kama ni weak kiakili na hata kiuchumi.

Jambo linalonishangaza mpaka leo hii ni hili la Mkwere na Edo!
Hivi inakuwaje mtu wa kaskazini anakuwa outsmarted na mtu wa pwani?

Ni wazi Mkwere alikuwa ahead of the game, ukizingatia walikuwa marafiki before.

North got defeated by coast!

This man is very intelligent!

NB
Ni mtazamo wangu!
Kwa hiyo
 
Inawezekana mkwere kwa mali alizojikusanyia akiweka wazi mali anazomiliki anaweza akawa kwenye top 100 za richest people katika dunia, top 5 katika Afrika na namba moja Tanzania. Ameliibia hili taifa haijawahi kutokea sema watu mnababaika tu na ile fake smile.
 
Inawezekana mkwere kwa mali alizojikusanyia akiweka wazi mali anazomiliki anaweza akawa kwenye top 100 za richest people katika dunia, top 5 katika Afrika na namba moja Tanzania. Ameliibia hili taifa haijawahi kutokea sema watu mnababaika tu na ile fake smile.
A fake smile?
 
Back
Top Bottom