Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Uko sahihi, hizi fikra tu za watu flani wanaojisikia ndiyo wanakuja na mawazo kama hayo. Suala la usmart wa mtu ni majaaliwa tu anapewa mtu bila kujali anatokea wapi......llinatehemea tu Mungu amempa nini'.