mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
-
- #41
Ahsante kwa mchango wako!Karne hii kujudge mtu kulingana na ukabila wake na ukanda aliotokea, huo tunaita Ushenzi na upumbavu wa kukosa ustaarabu.
Akili haipimwi kwa aina ya ukabila wala ukanda, acheni utoto
Aisee
Kamwe mtu wa bara hawezi kuwa smart kuliko wa pwani.
Aliyeanza kukutana na mwarabu au mzungu ni mtu wa pwani.
Hata mwalimu alitambua usmartness wa mtu wa pwani.
Sitta hakua na shida yeyote ila 2010 alipotaka kua spika ilikuja ajenda ya masuala gender balance na women empowerment ndo akaja mama MakindaSitta alikuwa na shida gani??
Watu wenye akili ni wahaya tu huko TzStory za sijui watu wa kaskazini ni smart mara wajanja, huenda ni matango pori. Ni wa kawaida mno kwa scenario ya Mkwere na Edo.
Ahsante, nimerekebisha.Rudia kusoma mchango wako kisha ubaini makosa yako.
Kama ni akili Mkwere hana, alikuwa kichwa cha nazi tu. Sema kutawala Watanzania hakuhitaji uwe na akili kihivyo. Mkwere alitembea kwenye bahati tuHabarini JFcians!
Kutokana na mitazamo ya wengi kuhusu watu wa pwani, watu wa pwani wanachukuliwa kama ni weak kiakili na hata kiuchumi.
Jambo linalonishangaza mpaka leo hii ni hili la Mkwere na Edo!
Hivi inakuwaje mtu wa kaskazini anakuwa outsmarted na mtu wa pwani?
Ni wazi Mkwere alikuwa ahead of the game, ukizingatia walikuwa marafiki before.
North got defeated by coast!
This man is very intelligent!
NB
Ni mtazamo wangu!
Hakuna muoga ,alitumia Hekima tubas nikajua mkwere wa mizengwe
kumbe mkwere wa mizengwe ya siasa
marehemu eddo alikuwa smart sema mwoga, angeamua kukinukisha ilikuwa balaaa
Kwa hiyoHabarini JFcians!
Kutokana na mitazamo ya wengi kuhusu watu wa pwani, watu wa pwani wanachukuliwa kama ni weak kiakili na hata kiuchumi.
Jambo linalonishangaza mpaka leo hii ni hili la Mkwere na Edo!
Hivi inakuwaje mtu wa kaskazini anakuwa outsmarted na mtu wa pwani?
Ni wazi Mkwere alikuwa ahead of the game, ukizingatia walikuwa marafiki before.
North got defeated by coast!
This man is very intelligent!
NB
Ni mtazamo wangu!
Kwa hiyo uzi tayari.Kwa hiyo
A fake smile?Inawezekana mkwere kwa mali alizojikusanyia akiweka wazi mali anazomiliki anaweza akawa kwenye top 100 za richest people katika dunia, top 5 katika Afrika na namba moja Tanzania. Ameliibia hili taifa haijawahi kutokea sema watu mnababaika tu na ile fake smile.
Mzee wa 'kuambiwa changanya na zako'.Kwan huyo mkwele ni nan
Nipen jbu me cjui nichanganye nnMzee wa 'kuambiwa changanya na zako'.
Nipen jbu me cjui nichanganye nn
Ukiona jambo hulielewi basi jua sio hadhira husika.Nipen jbu me cjui nichanganye nn