Ila sisi wadada jamani...

Pole mkuu.. agiza mirinda barrriidi halafu relax jF kama familia yako tunakusihi uwe mtulivu wakati tunatafakari cha kufanya juu ya wadada wenye tabia hii!
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ahsante mkuu, na ulijuaje am fond of Mirinda nyeusi eti.??
 
I was surprised pia, labda hamuamini mtu wake kwa kiwango hicho.!!
I like that 'desperate cow' though.!
Humuamini mtu wako ndo ukose Raha hata kwa wapita njia? That's insane. Hata mwanamme awe mhuni kiasi kipi hawezi tembea na dunia nzima.

She's just insecure and once the man finds out to what extent she is, atamtesa Sana.
 
Ahsante mdogo wangu, na kwanini aniombe kisafari cha dakika kadhaa tu? Bora hata ingekuwa safari ya bus na angepishwa kabisa.!
Au wangekodi boda wapande mishkaki wabanane vizuri kama hiyo ndo ilikua shida yakeπŸ˜‚
 
Kiasili mwanamke ni kiumbe mwenye roho mbaya sana hasa inapokuja ni kwa mwanamke mwenzake huzidi mara 70,hutaki unaacha!!!

That's it
Sina hakika sana na hili, ila naamini kila kiumbe kina roho mbaya kwa nafasi yake.!!
 
Au wangekodi boda wapande mishkaki wabanane vizuri kama hiyo ndo ilikua shida yakeπŸ˜‚
Haha..
Umewaza mbali mdogo wangu!
Exactly, walipaswa wafanye hili.!
 
Inawezekana umemzidi viwango, ndio maana aliona wivu akijua labda jamaa yake atakuomba namba ya simu!
Ila ni mpumbavu hana busara.
Haha..!!
Anaishije kwa wasiwasi hivyo? Akamate kifaa yake aweke tu ndani, asifanye maisha yetu kuwa magumu bure.!!
 
Popoma huyo nae. Kwani si hata angekuomba tu. Kisingeharibika kitu.

Nahisi umemzidi uzuri pia.πŸ˜€
 
Kuna siku nimepanda daladala Buguruni, basi nilipata siti ya kushikilia bomba juu, mahali niliposimama kwenye siti ya jirani alikuwa amekaa binti mmoja halafu kavaa kigauni kifupi halafu tupaja fulani hivi amazing, mjuba si nikawa namchungulia kimtindo , kumbe mjuba wake amekaa siti ya nyuma ananicheki navyomnyari demu wake, walivyofika Riverside wakashuka kwa madaha huku wameshikana mikono, nikaishia kuwasindikiza kwa macho.
 
Hahaha

Watu wa Dar mna mambo.
 
Hiyo itategemea zaidi mapokezi ya part one yamekuaje, zaidi sana tutakaa na menejimenti kuzungumza hilo, kuwa mvumilivu.!
mpaka sasa mapokezi ya part 1 yamekua makubwa mno hivo jitahidi mwendelezo wake uwepo mazingira hayo hayo ya kupanda dala dala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…