Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Ujasiri mnao haswaaTrue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujasiri mnao haswaaTrue
...,...ukikutwa umekufa una chakulaumu¿¿Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?
Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Kweli Mungu yupo...,...ukikutwa umekufa una chakulaumu¿¿
Ukifa unaweza kulaumu kweli?
Sanaaa hata waganga ,walinzi hawanaUjasiri mnao haswaa
Sio kila mtu anapenda pesaWatakula nini sasa
Hatari sana na ndiyo maana mara nyingi serial killers wanapenda kuua wanawake wanaojiuza barabaran maana ni rahisi kuwapataUnakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?
Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Nani kakudanganya ni wanaojiuza imagine umetoka kazini unakutana namtu humjui eti umempenda unaenda kwake kulala nakuamkia huko kweli wewe unamjua kama ninani na kwanini mmekutana??Hatari sana na ndiyo maana mara nyingi serial killers wanapenda kuua wanawake wanaojiuza barabaran maana ni rahisi kuwapata
Yani umempenda siku hiyo hiyo unaenda kulala kwake? Kweli hayo ni mapenzi ya dhatiNani kakudanganya ni wanaojiuza imagine umetoka kazini unakutana namtu humjui eti umempenda unaenda kwake kulala nakuamkia huko kweli wewe unamjua kama ninani na kwanini mmekutana??
Huo ni umalaya naye anaangukia kundi la wanaojiuza…. Unakubali vipi kwenda kwa mwanaume ndio kwanza umekutana naye muda huo?? Umalaya Umalaya UmalayaNani kakudanganya ni wanaojiuza imagine umetoka kazini unakutana namtu humjui eti umempenda unaenda kwake kulala nakuamkia huko kweli wewe unamjua kama ninani na kwanini mmekutana??
Umalaya tu hakuna lolote..!!Yani umempenda siku hiyo hiyo unaenda kulala kwake? Kweli hayo ni mapenzi ya dhati
Hamuogopi hata kuwekewa sumu kwenye kakinywaji🥲.Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi
Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Hivi mnadhani kuua ni rahisi tu kama kushusha kimba?shukuru Mungu jana hajakuua
Himalaya mountainsHuo ni umalaya naye anaangukia kundi la wanaojiuza…. Unakubali vipi kwenda kwa mwanaume ndio kwanza umekutana naye muda huo?? Umalaya Umalaya Umalaya
Lipia tangazo lakoUnakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?
Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Hata kwenye maandiko tumeaswa kuishi na nyie kwa tahadhari kubwa.Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?
Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??