Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?

Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.

Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Wewe ndio uliesema nikukague Bikra nikikukuta nayo nikupe B19?

Kwa mwenendo wa thread zako nadhani wameshakutoa hadi bikra za pua na masikioni
 
Ilitokea wakati fulani hapa Dar kuna jamaa alikuwa anatongoza wanawake anaenda kuwaua kwa kuwavunja shingo,anachanganya location leo akiua Kinondoni kesho anauwa Keko kesho kutwa Gongo la Mboto na bado hawakujifunza akawa anawanasa.

Wa mwisho alikuja kumuuwa mke wa jamaa yetu hapa Kariakoo jamaa alikuwa muimba taarabu na kundi la marehemu somebody Kijoti wale waliopataga ajali,mke alidanganya anaenda kwa mama mdogo Buguruni akaenda kuvunjwa shingo Magomeni Mapipa.
 
Ilitokea wakati fulani hapa Dar kuna jamaa alikuwa anatongoza wanawake anaenda kuwaua kwa kuwavunja shingo,anachanganya location leo akiua Kinondoni kesho anauwa Keko kesho kutwa Gongo la Mboto na bado hawakujifunza akawa anawanasa.

Wa mwisho alikuja kumuuwa mke wa jamaa yetu hapa Kariakoo jamaa alikuwa muimba taarabu na kundi la marehemu somebody Kijoti wale waliopataga ajali,mke alidanganya anaenda kwa mama mdogo Buguruni akaenda kuvunjwa shingo Magomeni Mapipa.
Mkuu dadavua mpaka mwisho.
 
Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?

Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.

Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Utalaumu vipi wakati umekufa...,anyway ushauri mzuri wahusika ufanyieni kazi
 
Tate Mkuu i miss u jamani baba angu mganga wangu wa moyo my sweety pie my whole hearted nakupenda kuanzia unyayo wako hadi utosi wako .
holoholo una kitu cha kujifunza hapa. Wakati unateswa na mikasa itokanayo na mahusiano, mimi mwenzako ninapetiwa petiwa na mtoto mzuri SweetyCandy!

Thanky you babe for this sweety message 🤩
 
Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?

Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.

Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
Hahahaha 🤣
 
Back
Top Bottom