Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Hahaha
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Hii counter attack ina Jina lingine kitaalam?
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
😂😂😂😂😂😂
 
Unakutana na ntu humjui unaenda naye gest unalala naye hadi asubuhi. Na bado unanguvu ya kudai pesa shukuru Mungu jana hajakuua ndio udai hiyo hela . Ukiangalia yaani humjui hujawahi mwona ila unaubavu wakulala naye. Seriously.?

Unaamka asubuhi hujatumia kinga,ila umeshalala nayee . Hapo unadai pesa.
Dah roho ngumu kama ya pakaa.

Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
SASA AKIKUTWA AMEKUFA SI AMESHAKUFA? ATALAUMU NINI WAKATI AMESHAKUFA?
 
Back
Top Bottom