Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

...,...ukikutwa umekufa una chakulaumu¿¿
Ukifa unaweza kulaumu kweli?
 
Hatari sana na ndiyo maana mara nyingi serial killers wanapenda kuua wanawake wanaojiuza barabaran maana ni rahisi kuwapata
 
Hatari sana na ndiyo maana mara nyingi serial killers wanapenda kuua wanawake wanaojiuza barabaran maana ni rahisi kuwapata
Nani kakudanganya ni wanaojiuza imagine umetoka kazini unakutana namtu humjui eti umempenda unaenda kwake kulala nakuamkia huko kweli wewe unamjua kama ninani na kwanini mmekutana??
 
Nani kakudanganya ni wanaojiuza imagine umetoka kazini unakutana namtu humjui eti umempenda unaenda kwake kulala nakuamkia huko kweli wewe unamjua kama ninani na kwanini mmekutana??
Huo ni umalaya naye anaangukia kundi la wanaojiuza…. Unakubali vipi kwenda kwa mwanaume ndio kwanza umekutana naye muda huo?? Umalaya Umalaya Umalaya
 
Lipia tangazo lako
 
Hata kwenye maandiko tumeaswa kuishi na nyie kwa tahadhari kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…