Ila sisi wanawake tunamoyo sana imagine

Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Hahaha
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Hii counter attack ina Jina lingine kitaalam?
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kuaminiana, ndiyo tatizo...lakini kwanini ukutane nae usiku uende kulala nae?

NB: Hatari hawapati wanawake tu bali na wanaume wanahitaji umakini....tumeona wanaume wengi wakifia gesti
Wengi sana
 
Ila sisi wanaume tuna figo imagine unakutana na mwanamke humjui unalala nae hadi asubuhi

Hapo unaamka asubuhi hujatumia kinga na unamlipa kabisa dah! Je kama kakuambukiza kwahio unamlipa kwa kukugawia yutiyai
Imagine : unakutana na mtu barabarani usiku tayari umeshaenda naye guest au kwako ukikutwa umekufa unachakulaumu??
SASA AKIKUTWA AMEKUFA SI AMESHAKUFA? ATALAUMU NINI WAKATI AMESHAKUFA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…