Uchaguzi 2020 Ila Tundu Lissu ana ujasiri. Unguja alimpigia kampeni Maalim Seif na Kigoma kampigia kampeni Zitto Kabwe

Politicians wengi wanapiga hesabu za mbali Sana,na kila alitendalo au kunena sio bahati mbaya, Lissu anaangalia beyond this election,so he is making friends or preparing his next episode...pia nadhani amechoka kuendesha jeshi la MTU mmoja.
Subutu yako. Lissu hata ahamie Chauma bado ana nguvu ya kuinyosha ccm
 
Acha kupotosha watu,Lyatonga wa TLP hampigii kampeni JPM? Na alishauri Lissu na wenzake wasipoteze muda.
 
Mbona mbona hamyasemi jinsi watu walio simama back bench wakimzomea TAL mpaka mkutano akaufupisha? Kigoma nilisikia hivyo, Sumbawanga nako hivyo hivyo.
 
Mbona mbona hamyasemi jinsi watu walio simama back bench wakimzomea TAL mpaka mkutano akaufupisha? Kigoma nilisikia hivyo, Sumbawanga nako hivyo hivyo.

..hiyo ni demokrasia.

..watu wanaonyesha hisia zao ktk mikutano ya cdm.

..ila ninachojiuliza ni kama watu wanaweza kuzomea ktk mikutano ya ccm halafu dola isiwaumize.
 
Mbona mbona hamyasemi jinsi watu walio simama back bench wakimzomea TAL mpaka mkutano akaufupisha? Kigoma nilisikia hivyo, Sumbawanga nako hivyo hivyo.
Kwenye siasa kuzomewa ni jambo la kawaida sana..... Hata siasa za shule za sekondari kuchagua HP huwa wanazomeana bwashee!
 
anajaribu tu kuwaonesha kua hana kinyongo na wengine ila mpeni nchi ndo mtamfahamu kua ni paka alieficha makucha akaija kuyachoma mtajuta bora hata mzee wa burigi tulishamzoea
 
Mkuu ni wewe!!? Hongera
 
Mwenye kikundi chake anamwangalia tu, atampitishia dirishani safari hii.

Ngoja uchaguzi upite.
Rais gani anaweza kupitishiwa dirishani?Kama kusoma haufahamu hata picha hauzioni?Mh.Lissu is going to be Our Next President, how about that?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…