Ila waganga mmh, hayaa

Usifanye watu waanze kuwa waganga ili wawavune wadada vizuriπŸ˜†πŸ€£
 
Hahaha mkuu bhana
 
Nimeshihudia Mganga anamuogesha dawa mama mtu mzima mtoni baada ya kumaliza akampiga mashine mimi nimebana kichakani nasikilizia mchongo wote.
Nikakausha nikasepa zangu.
Wewe ndo yule wa msemao au?!
 
Sema nn mangi, kumwaga jasho ili kupata mali ni kitu cha msingi, ila wengi hawataki so ngoja waganga wawamwagie wao na wasifanikiwe ndio watajua hawajui
 
Nimeshihudia Mganga anamuogesha dawa mama mtu mzima mtoni baada ya kumaliza akampiga mashine mimi nimebana kichakani nasikilizia mchongo wote.
Nikakausha nikasepa zangu.
Ungerekod ngoma utuwekee connection hapa 🀭🀭
 
Nimeshihudia Mganga anamuogesha dawa mama mtu mzima mtoni baada ya kumaliza akampiga mashine mimi nimebana kichakani nasikilizia mchongo wote.
Nikakausha nikasepa zangu.
Unaona ndio nimeona namimi nikastaajabu hadi aibu Sasa mie ni mara mbili me na ke wanapigwa mashine hatari.
 
Wengine mngebaki kuwa wachangiaji tu sio Kila mtu afungue thread
 
Kutokujiamini huko! Kwanini waende kwa waganga?
 
Kawapanga foleni na leo umestuka ndo unatoa ya moyoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…