Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

hii nyimbo ya choo ninayo ila sijawai kuisikiliza baadaye naisikikiliza alafu itafuata mtoto kautaka, amelowa alafu nani kajamba asante mlets uzi siku izi nyimbo za ujumbe hazina soko
 
hii nyimbo ya choo ninayo ila sijawai kuisikiliza baadaye naisikikiliza alafu itafuata mtoto kautaka, amelowa alafu nani kajamba asante mlets uzi siku izi nyimbo za ujumbe hazina soko
Hahaha mimi nachohofia ni watoto wetu hawa wenye akili kama train kusikiliza hizi nyimbo bora hata siisi tunajua kuchuja
 
Aache kuingia mtandaoni.
Upeo wako ni hafifu, hau-visualize katika uwanda mpana wa fikra ya reasoning.

Ungekuwa bora katika hili, usingeshangaa kuona nyuzi kama hzi zikilalamika utupu uliopo kila kona ambayo mtu itapaswa upite ili upate huduma fulani.

Kinachofata utaaambia watu wajitoboe macho ili wasiwaangalie wadada wanaovaa nusu uchi mtaani.

๐Ÿ–๐Ÿ–
 
Juzi nmechungulia simu ya Mr nashangaa naona makali* yanachezeshwa na alisema anaangalia mpira kwa simu. Namuuliza ndio anasema hio site wanaweka hizo kwenye matangazo. Yan ni mwendo wa makali* tu kila sehemu hata usipotaka utayaona.
 
Nyimbo za hovyo kama huo toilet, Eti toilet ya...... Unaenda bila kuvaa Viatu. Ni wa hovyo sana kwenye zama hizi. BASATA mko wapi?
 
Nyimbo za hovyo kama huo toilet, Eti toilet ya...... Unaenda bila kuvaa Viatu. Ni wa hovyo sana kwenye zama hizi. BASATA mko wapi?
Cha kushangaa watu wenye ubunifu wa maana wanatupilia mbali, baada ya muda utasikia huyu dogo amepewa Ubunge
 
Juzi nmechungulia simu ya Mr nashangaa naona makali* yanachezeshwa na alisema anaangalia mpira kwa simu. Namuuliza ndio anasema hio site wanaweka hizo kwenye matangazo. Yan ni mwendo wa makali* tu kila sehemu hata usipotaka utayaona.
Hahahah

AHSANTE DADA, NIMEPENDA KAULI YAKO

"HATA USIPOPENDA UTAYAONA"

yani unaweza kuta unaingia kutafuta kitu youtube unakutana na tangazo dating site la mabinti wanacheza uchi uchi
 
Wqcha tucheki misambwanda vwana wengine hatuna hela angalau tukiona misambwana tunapata picha za kupigia nyeto
 
Juzi nmechungulia simu ya Mr nashangaa naona makali* yanachezeshwa na alisema anaangalia mpira kwa simu. Namuuliza ndio anasema hio site wanaweka hizo kwenye matangazo. Yan ni mwendo wa makali* tu kila sehemu hata usipotaka utayaona.
Nawe ungemtingishia kalio lako um tease bby wako bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ