Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Anastasia21

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,118
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
 
Tatizo mwanamke ukimuambia ukweli wa kila kitu huwa anakudharau, ..mke wangu aliniambia eti niwe namshirikisha kwenye mambo yangu nikamuambia haiwezekani kwa sababu wewe huchangii chochote hapa zaidi ya kula na kulala, siku na wewe ukiweza kuchangia hata 10000 Tu ya matumizi nitakushirikisha.....
 
Kuna watu mna moyo, miaka mi 3 kwenye mahusiano kwani wewe ni degree. HIT & RUN

Kitendo cha wanawake kufikiria kwamba kukupatia mbususu ni kama favour huwa nashindwa kukielewa, maana tumekutana wote tuna hamu, tumejamiiana, sasa mwanaume akiamua ku move on unaanza malalamiko ooh ulikuwa unanichezea etc. WTF??!
 
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
Poleni!
 
Back
Top Bottom