Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Kwanini ubebe mimba bila kumshirikisha in advance kwamba unahitaji kuwa mama (tu-assume mimba haikuwa ya Bahati mbaya I.e.kalenda iliyumba)., though haifanyi huyo mwanaume akwepe majukumu ya kutoa matunzo (matunzo yapo pale pale)
Uwe mwanamke au mwanaume ukigegedana bila condom, outcome ni mimba na magonjwa ya zinaa hivyo ikitokea kimojawapo kama wewe hiyo mimba hilo ni lako mpaka pale msababishi wa mimba ataonyesha dhamira ya kukuoa lakini asipoonyesha dhamira ya kuoa hapaswi kulaumiwa kwa kuwa lengo lenu lilikuwa ni kugegedana
Hata mwanaume pia, akiambiwa amesababisha mimba hata kama hataki kuoa, lazima wallet itoboke atoe matunzo.
Uwe mwanamke au mwanaume ukigegedana bila condom, outcome ni mimba na magonjwa ya zinaa hivyo ikitokea kimojawapo kama wewe hiyo mimba hilo ni lako mpaka pale msababishi wa mimba ataonyesha dhamira ya kukuoa lakini asipoonyesha dhamira ya kuoa hapaswi kulaumiwa kwa kuwa lengo lenu lilikuwa ni kugegedana
Hata mwanaume pia, akiambiwa amesababisha mimba hata kama hataki kuoa, lazima wallet itoboke atoe matunzo.