Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Kwanini ubebe mimba bila kumshirikisha in advance kwamba unahitaji kuwa mama (tu-assume mimba haikuwa ya Bahati mbaya I.e.kalenda iliyumba)., though haifanyi huyo mwanaume akwepe majukumu ya kutoa matunzo (matunzo yapo pale pale)

Uwe mwanamke au mwanaume ukigegedana bila condom, outcome ni mimba na magonjwa ya zinaa hivyo ikitokea kimojawapo kama wewe hiyo mimba hilo ni lako mpaka pale msababishi wa mimba ataonyesha dhamira ya kukuoa lakini asipoonyesha dhamira ya kuoa hapaswi kulaumiwa kwa kuwa lengo lenu lilikuwa ni kugegedana

Hata mwanaume pia, akiambiwa amesababisha mimba hata kama hataki kuoa, lazima wallet itoboke atoe matunzo.
 
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
Mbona ni malalamiko tu! Kumetokea nini?
 
Tatizo mwanamke ukimuambia ukweli wa kila kitu huwa anakudharau, ..mke wangu aliniambia eti niwe namshirikisha kwenye mambo yangu nikamuambia haiwezekani kwa sababu wewe huchangii chochote hapa zaidi ya kula na kulala, siku na wewe ukiweza kuchangia hata 10000 Tu ya matumizi nitakushirikisha.....
Duh😹 mwenzio na changia Tena adi shopping unafanya mtu khaa hasemi ?
 
Kuna watu mna moyo, miaka mi 3 kwenye mahusiano kwani wewe ni degree. HIT & RUN

Kitendo cha wanawake kufikiria kwamba kukupatia mbususu ni kama favour huwa nashindwa kukielewa, maana tumekutana wote tuna hamu, tumejamiiana, sasa mwanaume akiamua ku move on unaanza malalamiko ooh ulikuwa unanichezea etc. WTF??!
Na sisi tukitaka ela tukiwachezea tumeamua kumove on sio favour mmefanya so Kila mtu tuseme sio favour kamfanyia mwenzie
 
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
pole
 
Single mother wanachowaza ni kudanga tu na mashindano ya kuwapost watoto na nguo mpya,
Kichwani hamna kitu hata walioajiria wanachowaza udangaji tu!
Eh sawa ndo mmekalili ivyo Kila mtu mdangaji
 
Back
Top Bottom