Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Xso mtoto wa umbwa ni umbwaa eeee duhTatizo mnatuita mbwa then mnajisahau
Mbona ni malalamiko tu! Kumetokea nini?Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?π
Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?ππΎ
Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?π
Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!πΉπΉπ
Stay focused #2025 #2026#2027.
Kuna kazi aunjoo inbox ana..
Kwa kua na nyie mnazo unakuta limwanaume linaomba msamaha mpaka fua Bado kesho karudi kosa like Kama sio udemu ni nn uwo?nyie akili ndio hamnaga
Wanataka mbususu tu baadae et nataka bikraπΉWanataka katikati tu huko kuoa ni mpaka wapate wanayemtaka wao
DuhπΉ mwenzio na changia Tena adi shopping unafanya mtu khaa hasemi ?Tatizo mwanamke ukimuambia ukweli wa kila kitu huwa anakudharau, ..mke wangu aliniambia eti niwe namshirikisha kwenye mambo yangu nikamuambia haiwezekani kwa sababu wewe huchangii chochote hapa zaidi ya kula na kulala, siku na wewe ukiweza kuchangia hata 10000 Tu ya matumizi nitakushirikisha.....
Na sisi tukitaka ela tukiwachezea tumeamua kumove on sio favour mmefanya so Kila mtu tuseme sio favour kamfanyia mwenzieKuna watu mna moyo, miaka mi 3 kwenye mahusiano kwani wewe ni degree. HIT & RUN
Kitendo cha wanawake kufikiria kwamba kukupatia mbususu ni kama favour huwa nashindwa kukielewa, maana tumekutana wote tuna hamu, tumejamiiana, sasa mwanaume akiamua ku move on unaanza malalamiko ooh ulikuwa unanichezea etc. WTF??!
Nyie mnapata mara mbili, utam na pesa sie mara moja utamu na uchungu wa kutoa pesa isiyozaa.Na sisi tukitaka ela tukiwachezea tumeamua kumove on sio favour mmefanya so Kila mtu tuseme sio favour kamfanyia mwenzie
poleUnakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?π
Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?ππΎ
Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?π
Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!πΉπΉπ
Stay focused #2025 #2026#2027.
Eh sawa ndo mmekalili ivyo Kila mtu mdangajiSingle mother wanachowaza ni kudanga tu na mashindano ya kuwapost watoto na nguo mpya,
Kichwani hamna kitu hata walioajiria wanachowaza udangaji tu!
Au sio mwana accountant πΉππΎNyie mnapata mara mbili, utam na pesa sie mara moja utamu na uchungu wa kutoa pesa isiyozaa.
Kihasibu sisi ndio tunakula hasara.
Ndio hivyo wewe ndio kwa hiyo picha hapo?Au sio mwana accountant πΉππΎ
πΉπΉ Amna Kuna nn tenaNdio hivyo wewe ndio kwa hiyo picha hapo?
Hakuna tu nimeuliza tu hata sina Sababu kiukweli ππΉπΉ Amna Kuna nn tena