Ila wanawake: Ananilaumu kila siku sijawahi kumtoa out wala kula hata 50 yangu wakati sisi ni washkaji tu!

Mimi nimestaafu kabisa, wanawake wote ni dada zangu kwasasa😅
 
😂😂😂
Hivyo kila mtoa thread humu ndani aanze kutaja kabila la muhusika wa story yake, si litakuwa jumba la makumbusho..??
Mkuu kwani unaumia nini nikitaja hili kabila la wasaka tonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…