Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Kumbe ndio wewe uliyekuwa unamtumia mchepuko wangu hizi sms?Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata View attachment 3223579View attachment 3223580 Hawajai kuwa romantic๐๐๐
Serious,. Wenzie wako romantic lakini yeye sasa๐๐๐Mama yako anaweza kwa wa 70s tu hapo, anatakiwa kuwa romantic.
Labda hawa wa Dady sisi tuliokulia Baba unaweza pelekwa kwa padri kupewa upako sijui sakramenti ya kitubio.Yaaani๐ฌ๐๐๐,.
Eti unaanzaje jamani? Baba nakupenda like whaaat๐
Me wangu moja kwa moja ange assume nimefanya tukio๐๐๐Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata View attachment 3223579View attachment 3223580 Hawajai kuwa romantic๐๐๐
Ukitaka kumuweza mtumie hela af kaa kimya baadae mwambie nimekutumia hela umeona aha hapo mtacheka mpakaHahah๐๐,. Huyo ni mamangu kabisa aisee๐๐๐
Umri wako utakuwa 26-29.Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata View attachment 3223579View attachment 3223580 Hawajai kuwa romantic๐๐๐