Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani labda tamaduni zetu haziruhusuwaafrika hatupo wazi sana kihisia.
kupongezana na kutiana moyo tunafanya mara moja moja sana.
kumkumbatia mtu ni kazi, inaweza kuleta shida.
ila huenda kuna faida za kuwa hivi, huenda ni tamaduni zetu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bora wewe ,mama yangu ungekua unamwambia una mpenda kabla ya kukulamba mwiko wa shigo angekutazama hivi kwanza.
View attachment 3223588
Mkumbatie akwambie unanuka jashowaafrika hatupo wazi sana kihisia.
kupongezana na kutiana moyo tunafanya mara moja moja sana.
kumkumbatia mtu ni kazi, inaweza kuleta shida.
ila huenda kuna faida za kuwa hivi, huenda ni tamaduni zetu.
Na stori huwa zinaongezeka sio fupi fupi tenaUkitaka kumuweza mtumie hela af kaa kimya baadae mwambie nimekutumia hela umeona aha hapo mtacheka mpaka
Kabisa mpaka alichofanya ndugu yako mwingine kama alimwambia usiseme atakuambia kabisa na kesho ukiamka simu yake ndio ya kwanzaNa stori huwa zinaongezeka sio fupi fupi tena
Hayanaga muongozoNikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata View attachment 3223579View attachment 3223580 Hawajai kuwa romantic😄😂😂
Kuna siku nilikua naumwa tumbo nikamwambia mama nahsi tumbo linaniuma Akanijibu "hizo simu mnazoshika kuanzia asubuhi hadi usiku" nikabaki tu kujiuliza simu na tumbo wapi na wapi?😂😂🤣🤣🤣 nimekumbuka kitambo. bimkubwa nikimwambia 'mama tumbo linaniuma' akihisi siko siriasi na homa anajibu 'kalete kisu mwanangu tukate hilo tumbo, kwanini likusumbue mwanangu'
Aisee nimecheka kwa sauti🤣🤣🤣Bora wewe ,mama yangu ungekua unamwambia una mpenda kabla ya kukulamba mwiko wa shigo angekutazama hivi kwanza.
View attachment 3223588
Inaonekana yeye ndio anawaomba omba sana pesa, hapo mama yake kajiwahi kusema hana pesa, akamlengesha kwa baba yake.Ukitaka kumuweza mtumie hela af kaa kimya baadae mwambie nimekutumia hela umeona aha hapo mtacheka mpaka
Wakike sema ila nampenda ana maringo uyo ila akikupenda anakupenda kweliJamani lohh😂😂😂
Ahahh mtoto kwa mama hakui ilaInaonekana yeye ndio anawaomba omba sana pesa, hapo mama yake kajiwahi kusema hana pesa, akamlengesha kwa baba yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mama yangu ukitaka kukosana nae mwambie mama nishida na hela oh utasikia mmeanza msisikie ninaela mnataka kukopa na amrejeshi akikata simu apokei tena 😂
Nachompendeaga huwa yuko fasta kwenye kupokea simu hata kujibu sms yuko fasta sana. Nikiwa na dharura yeyw ndio wakwanza kumtafuta kwasabu najua atajibu kwa wakatiMimi nahisi ni tamaduni ndo zinatuponza.
Hata hivyo your mom is so charismatic wengine hata kuwa na convo za namna hiyo ni taabu