min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Yeah wamefanana umejuaje asee?Wamefanana au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah wamefanana umejuaje asee?Wamefanana au?
😆😆😆 Yaani ili mradi tu uone hawazoelekiKuna siku nilikua naumwa tumbo nikamwambia mama nahsi tumbo linaniuma Akanijibu "hizo simu mnazoshika kuanzia asubuhi hadi usiku" nikabaki tu kujiuliza simu na tumbo wapi na wapi?😂😂
Hujui kutaniwaYeah wamefanana umejuaje asee?
Tushamzoea sisiWakike kawaida kuwa hivyo😄
Wapi nimesema sijui?😁Hujui kutaniwa
Keep her.Nachompendeaga huwa yuko fasta kwenye kupokea simu hata kujibu sms yuko fasta sana. Nikiwa na dharura yeyw ndio wakwanza kumtafuta kwasabu najua atajibu kwa wakati
Kumradhi nilikutukanaWapi nimesema sijui?😁
Sijaona tusi , labda ulitukana kimoyo moyo.Kumradhi nilikutukana
Basi sawaSijaona tusi , labda ulitukana kimoyo moyo.
Hapo ukijaribu kwa bro n sister lazma uambiwe ntakupigia jioni tuongee vizuri, kumbe upendo tu wa AGAPE 🤣🤣🤣Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata
Hawajai kuwa romantic😄😂😂