Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cool Mamii,,Msalimie Baba Na Mama LilianPoa za kwako?
wazee wako strictly yaan😂Me mzee wangu hanaga stori na mtu labda mama tu ndio wanaongeaga sana, ila sie wengine ni salamu na kufuata tu maagizo anachokisema basi
Sasa kamq uliomba hela usiku halafu ukaja mwambia nakupenda siku nyingine but usiku same time haaaa... Na lafudhi ya kichaga "kuna nini tena Tony" 🤣🤣🤣Yaan tamaduni zetu hazikuwa hivyo yaan inabidi upate mzazi mwenye exposure!
Hivi hivi utaitwa kwa mchungaji 😂
Umejuaje mm mchaga arifu 😂Sasa kamq uliomba hela usiku halafu ukaja mwambia nakupenda siku nyingine but usiku same time haaaa... Na lafudhi ya kichaga "kuna nini tena Tony" 🤣🤣🤣
Hahaa sauti yako ukitype bwashee 😄Umejuaje mm mchaga arifu 😂
Achaa basii .... BwasheeHahaa sauti yako ukitype bwashee 😄
Hii hata mimi imenitokea sana 😂Kuna siku nilikua naumwa tumbo nikamwambia mama nahsi tumbo linaniuma Akanijibu "hizo simu mnazoshika kuanzia asubuhi hadi usiku" nikabaki tu kujiuliza simu na tumbo wapi na wapi?😂😂
Mama ananiambiaga hayo mavitu unaweka huko masikioni ndio yanakupotezea hata baraka zako😂Hahhahh,. 🤣
🤣🤣AiseeYAani hapo kwanza kanisema niache kutumia emoji za kucheka nikiwa naongea nae😂😂
Unabaki kujiuliza baraka zinapitia maskioni au vipi?,.😂😂😂Mama ananiambiaga hayo mavitu unaweka huko masikioni ndio yanakupotezea hata baraka zako😂
Usiombe uongee nae kwenye simu alafu aseme kitu usikisikie, utasikia unisikii kwa sababu ya hayo mavitu unawekaga huko sikioni.
Yeah ni vizuri kuwaambia wawe wanajuaNampenda sana mama yangu, huwa nikipata nafasi ya kumwambia namwambia na anafurahia sana.
Wengi wanawapost wazazi wao na kuweka maneno mazuri ya upendo lakini cha ajabu ni kuwa hao wazazi hayo hawayaoni na hawajawahi kuambiwa.
Tujitahidi kuwapenda watu na kuwaonesha wangali na uhai, uwepo wao ni muhimu sana.
Kinacho furahisha zaidi wanasema hayo maneno uso ukiwa mkavu mpaka unabaki kujiulliza hivi anatania au ana amini anachokisema😆😆Unabaki kujiuliza baraka zinapitia maskioni au vipi?,.😂😂😂
Na akiongea kitu harudii mara mbili,. Ila wamama😄